Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

Inawezekana jamaa alikuwa anamnyonĝa had akajinyea

Pili inawezekana jamaa alikuwa anakula kisamvu cha kopo na paipu ilikuwa kubwa had akajinyea

Lakn siku moja akiwa wasafi na masanja alisema hana muda na mapenz na anajitunza
 
Uchunguzi wa kifo cha mzee kibao umeishia wapi?
Vp uchunguzi wa kifo cha MC Pilipili?
Wonders shall never end..Hakuna jipya hapo!!!!
Wampumzishe tu salama,waendelee na mambo yao..!!!
Kama nchi,kuna mahali tulikosea ambapo mpaka leo tunaadhibiwa..!!!
 
Msifanye masikhara na kifo hlf huyu inaonekana kafa kwenye uzinzi sasa kifo chake apo ni hatarii yani roho inavotoka ndo mpka aka....ea yani sio poa kifo sio kirahisi kama tunavodhani
 
Huyo amenyongwa mtu akinyongwa au akijinyonga lazma ajisaidie.
 
Anajaribu kulifanya jambo la kifo. Kilicho mkuta huyo Binti lichukuluwe Kwa uzito wake
Exactly! baada ya kumsikia mchumba anavojitetea,huku macho makavu, hata Mimi nimeanza kuingiwa wasi wasi
Hao wameamua walete public ili wapate msaada inaonekana jamaa kashawapoza ma polisi wameua kesi juu juu!
 
Kwanin mpaka kuandika mtupu na amejisaidia hiyo mbona ni kama kudhalilisha mtu?
Labda ameamua kusema hivyo ili kuviamsha vyombo vya dola kutoka usingizini. Kama huyo msanii amekaa na mtu kwenye hiyo hotel kwa zaidi ya wiki 3! Halafu amekutwa akiwa amekufa, hana nguo na huku amejisaidia!

Ni kwa nini hakuna taarifa ya polisi kumhoji mwenza aliyekuwa naye kwa siku zote hizo? Kwa nini hilo tukio liachwe lipite kimya kimya? Vipi kama marehemu aliuwawa au kufanyiwa ukatili na huyo mtu, na hivyo kusababisha kifo chake?
 
Msifanye masikhara na kifo hlf huyu inaonekana kafa kwenye uzinzi sasa kifo chake apo ni hatarii yani roho inavotoka ndo mpka aka....ea yani sio poa kifo sio kirahisi kama tunavodhani
Wiki 3 anaishi hotelini na huyo mtu ambaye hajulikani
Isije ikawa jamaa muda wote alikuwa anapita rough road

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…