mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,174
Mfano sio Org!Hell No!
Huyo mungu unayefanana naye ni mungu wako wewe tu...
Mungu wa wote anajitosheleza kiasi cha kutokufanana na si tu binadamu bali hata mabilioni ya species nyingine alizoziumba hapa duniani na kwenye sayari nyingine
Ni kumkosea Mungu pakubwa sana kudhani kwamba tunaweza kujifananisha kivyoyovyote vile na Muumba wetu
Suratul'
Ikhras.....1.....
Tatizo lako ni kukariri qaraa[emoji12]
Jee Mungu Haoni, Hasikii, Hajui Jema na Baya...?? Yote hayo Mungu Anayaweza!
Na Mwanadamu nae Anayaweza!
Ila Uwezo wa Mungu ni Mkubwa kuliko wa Binadamu!
Dhahir eeh?!