elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,473
Wakuu Salaam,
Napenda kuuliza je Adamu na Eva walikua na kitovu?
Sote tunajua kitovu ( umbilical cicatrix ) ni kovu ambalo hutokana na connection Kati ya mama na mtoto wake akiwa tumboni kukatwa na kuweza kuwatenganisha ili kila mtu awe kivyake japo tunategemeana.
Sasa Adamu na mkewe hawa hawakuwahi kuzaliwa kwa hivyo hawakuunganishwa na hii umbilical cord.
Je walikuwa na Kitovu ( Mungu aliwaumbia) au sisi binadamu tuu ndo tunakitovu?
Kumbuka Adamu na Eva siyo binadamu bali ni Watu.
Napenda kuuliza je Adamu na Eva walikua na kitovu?
Sote tunajua kitovu ( umbilical cicatrix ) ni kovu ambalo hutokana na connection Kati ya mama na mtoto wake akiwa tumboni kukatwa na kuweza kuwatenganisha ili kila mtu awe kivyake japo tunategemeana.
Sasa Adamu na mkewe hawa hawakuwahi kuzaliwa kwa hivyo hawakuunganishwa na hii umbilical cord.
Je walikuwa na Kitovu ( Mungu aliwaumbia) au sisi binadamu tuu ndo tunakitovu?
Kumbuka Adamu na Eva siyo binadamu bali ni Watu.
