Hao wakina Kimario wana shida gani? Kuna Kimario mwingine huko huko Arusha naye alikutwa na kinyesi na mkojo ndani miezi kama sita iliyopita basi tu watu huwa hamfuatilii mambo.
Hao wakina Kimario wote Warombo, wote wanaishi Arusha, wote vijana, wote hawana wake, wote wanywa pombe na mwisho wote wamekutwa na mikojo na vinyesi ndani. Kuna haja ya kufanyiwa utafiti ili ijulikane tatitzo nini na waliwezaje kuishi na hizo harufu ndani na wakawa wanapata usingizi kabisa.
Hii dunia ina mambo ya ajabu sana mkojo wa mtoto tu kama nguo hazijafuliwa vizuri unatoa harufu ya kufa mtu sasa huo mkojo na mavi ya mtu mzima tena mnywaji wa pombe sipati picha harufu yake. Mtaani tu kama kuna baa likija lile gari la kunyonya maji machafu mtaa mzima unanuka sasa hao jamaa waliwezaje kukaa na harufu muda wote huo.
Ni mtizamo tu.