Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,909
Salaam wakuu,
Ninaomba msaada kwa wanaofahamu juu ya ada za shule hizi kwa elimu ya msingi (mtoto wa kuanza darasa la kwanza).
- Hazina International
- Feza Schools
- Ali Hassan Mwinyi Elite
- Sunray Primary.
Nimejaribu kupitia kwenye tovuti zao sijapata chochote zaidi ya links ambazo hazina chochote. Nimesikitika lakini ni hivyo hivyo kwenye karibu kila sekta nchini kwetu, uwazi wa mambo ni kama dhambi.
Anyway, nisilalamike sana naamini hapa nitapata wadau watakaoweza kunisaidia hilo na lolote la ziada juu ya shule hizo au mojawapo ya shule hizo.
Natanguliza shukrani.
Ninaomba msaada kwa wanaofahamu juu ya ada za shule hizi kwa elimu ya msingi (mtoto wa kuanza darasa la kwanza).
- Hazina International
- Feza Schools
- Ali Hassan Mwinyi Elite
- Sunray Primary.
Nimejaribu kupitia kwenye tovuti zao sijapata chochote zaidi ya links ambazo hazina chochote. Nimesikitika lakini ni hivyo hivyo kwenye karibu kila sekta nchini kwetu, uwazi wa mambo ni kama dhambi.
Anyway, nisilalamike sana naamini hapa nitapata wadau watakaoweza kunisaidia hilo na lolote la ziada juu ya shule hizo au mojawapo ya shule hizo.
Natanguliza shukrani.