Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Yaani mtoa mada ulitaka ukawashitaki IST kisa ada zao......aisee what a joke...
Utajiri wa MO ni zaid ya trillion 4(billion 4000)Sijajua unacho lalamika ni nini hasa wewe uwezi afford wapo wanao afford ingekuwa unalazimishwa ndio ungekuwa na haki ya kulialia...Dunia inamachaguo mengi chagua chenye uwezo wako umaskini wako ndio zigo lako MO ana Billion 200+ iyo pesa sasa kwake, Bakhresa, Late mengi, Mafuruki, Shirima, Diplomats, Investors, CEOs nk wote hao hizo ndio shule zao.
Range Rover bei na watu wananunua, iweje ulalamike wewe nunua IST kuna familia ada ya 400,000/= wanakaa vikao vya michango na kulaumiana.
Spend what you can afford.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes, Olympio ,oysterbay, diamond zote hizo shule nzuri za serikaliKwani umeambiwa umpeleke mwanao huko? Kama huna ela kuna shule za kata ada bure. Acha kulia lia.
Sent using Jamii Forums mobile app
