JakaRoho
Member
- Jun 7, 2013
- 40
- 6
Nimechaguliwa kujiunga na mafunzo ya Ualimu. Nimeshngazwa na Mchanganua wa Malipo. Malipo ya Ziada yanazidi hata Ada ya Chuo na Serikali ipo tuu Macho Kodooo...Angalia Mwenyewe
b. ADA
Ada ni Tshs. 200,000 kwa mwaka (Inaweza Kulipwa Kwa Awamu
Mbili, Kila Awamu Tshs. 100,000)
c. MICHANGO
i. Tehama Tshs. 10,000 kwa mwaka.
ii. BTP Tshs. 13,000 kwa mwaka.
iii. Ukarabati Tshs. 10,000 kwa mwaka.
iv. Usajili Tshs. 5,000 mwaka wa kwanza tu.
v. Kitambulisho Tshs. 5,000 mwaka wa kwanza tu.
vi. Godoro Tshs. 10,000 kwa mwaka.
vii. Serikali Ya Wanachuo Tshs. 5,000 kwa mwaka.
viii. Mahafali Tshs. 5,000 kwa mwaka.
ix. Ujenzi wa Bweni Tshs. 10,000 kwa mwaka.
x. Ulinzi Tshs. 13,000 kwa mwaka.
xi. Upishi Tshs. 13,000 kwa mwaka.
xii. Matibabu Tshs. 10,000 kwa mwaka.
xiii. Taaluma kanda Tshs. 20,000 mwaka wa kwanza tu.
xiv. Michezo Tshs. 10,000 kwa mwaka.
xv. Kukodi joho Tshs. 10,000 mwaka wa pili tu.
b. ADA
Ada ni Tshs. 200,000 kwa mwaka (Inaweza Kulipwa Kwa Awamu
Mbili, Kila Awamu Tshs. 100,000)
c. MICHANGO
i. Tehama Tshs. 10,000 kwa mwaka.
ii. BTP Tshs. 13,000 kwa mwaka.
iii. Ukarabati Tshs. 10,000 kwa mwaka.
iv. Usajili Tshs. 5,000 mwaka wa kwanza tu.
v. Kitambulisho Tshs. 5,000 mwaka wa kwanza tu.
vi. Godoro Tshs. 10,000 kwa mwaka.
vii. Serikali Ya Wanachuo Tshs. 5,000 kwa mwaka.
viii. Mahafali Tshs. 5,000 kwa mwaka.
ix. Ujenzi wa Bweni Tshs. 10,000 kwa mwaka.
x. Ulinzi Tshs. 13,000 kwa mwaka.
xi. Upishi Tshs. 13,000 kwa mwaka.
xii. Matibabu Tshs. 10,000 kwa mwaka.
xiii. Taaluma kanda Tshs. 20,000 mwaka wa kwanza tu.
xiv. Michezo Tshs. 10,000 kwa mwaka.
xv. Kukodi joho Tshs. 10,000 mwaka wa pili tu.