Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,307
- 3,416
bora wewe unapigiwa simu unaambiwa form imepotea na vitu kama hivyo mimi sipati taarifa yoyote yaani wanappiga kimya tu as if sikupeleka mamombi na kujaz 4mhawakuipitisha hiyo form, kuna uzembe wa hali ya juu unafanyika. Nilijaza ikapita week nikatuma taarifa ya tatizo langu support wakaomba detail zangu nikawapa haikupita mda nikapigiwa simu na tawi, kule wanasema wamepoteza fom so i had to fill it out again but again it wasnt activated nikaenda pale Mcity and the card was activated in 10mins hazikupita hata 30mins nikapata text that my card has been enabled for online shopping.
mimi mwenyewe nimejaribu sana kuilink na paypal lakini sifanikiwi naambiwa my request is blocked by the bank who issued the card,kila nikienda bilabila nitajaribu kwenda mlmani city kama Good Guy alivyofanya hope nitafanikiwa,ikishindikana basi nahamaMwenyewe baada ya card ya kwanza ku-blockiwa nimeomba card nyingine na after 2weeks wakanipa na hapo hapo nikajaza form wakanambia watanitumia meseji ikiwa tayari lkn week imekata jana na nimewapigia Customer care wakasema form yangu haikupelekwa kitengo husika hivo niipe mda ili iwe linked nikaona hawa jamaa wazinguaji nilichofanya nikufanya majaribio kulink card na PayPal na suprising ikatick wakati wanadai haijawa enabled...Hawajielewi hawa jamaa
uwe unafanya research kwanza.,hata kama kuipigia debe exim sio kihivi.NBC hawana huduma kama hiyo!!!! Jaribu exim baank
Nenda Nbc, ktk bank statement utaona hyo transaction ya paypal. Hapo kuna 4 digits utazikuta. Baada ya kuchukua hzo digits utakwenda ktk paypal kisha utaziweka hzo verification code na ku accept. Mpaka hapo utakuwa tayar kuanza manunuz kwa njia hyo na hela ambayo wamekata paypal watakurudishia
Thank you!!
I always wanted have two paypal account ninayo ya CRDB mara nyingi system unakuta iko down, hii itakuwa very easy to switch
Lakini kwa nini NBC hawataki kutuambia, just two weeks nimeuliza wanasema hawana nikaenda FNB ikaambiwa hawana pia
Tatizo ukienda pale check na mtu wakuuliza wengine hawajui hivi vi-paypal ni vitu gani ni wachache ukimwambia Online purchase atakuelewa lkn in short na imani niliyonayo card yoyote ya VISA au Master Card au Maestro ina uwezo wa kufanya Purchase online
Wasiliana nao kwenye ukurasa wao wa faacebook, wanasikiliza watakuomba detail zako and within a day or tw0 utatatua taizo hilobora wewe unapigiwa simu unaambiwa form imepotea na vitu kama hivyo mimi sipati taarifa yoyote yaani wanappiga kimya tu as if sikupeleka mamombi na kujaz 4m
Tatizo ukienda pale check na mtu wakuuliza wengine hawajui hivi vi-paypal ni vitu gani ni wachache ukimwambia Online purchase atakuelewa lkn in short na imani niliyonayo card yoyote ya VISA au Master Card au Maestro ina uwezo wa kufanya Purchase online
Mkuu mimi nimeshajaza na form ya kuenable card ya NBC kufanya online transactions.Wacha mkuu!!! Eleza vizuri! nilishaenda sana customer care wakaniambia hakuna huduma hiyo!!!
My be watu wanazungumia ile ya kununua kwa mastercard au visa ile ya ku slash kwenye machine......!Mkuu mimi nimeshajaza na form ya kuenable card ya NBC kufanya online transactions.
Hiyo kitu ipo NBC pia, sijui tawi ulilotembelea au aliyekuhudumia.....
Sema utendaji ndio mbovu cuz walisema watanitumia email ya kuconfirm ila kila nikienda wanasema bado hawajapokea reply kutoka HQ.
So usikatae kwamba haipo.
Nenda Nbc, ktk bank statement utaona hyo transaction ya paypal. Hapo kuna 4 digits utazikuta. Baada ya kuchukua hzo digits utakwenda ktk paypal kisha utaziweka hzo verification code na ku accept. Mpaka hapo utakuwa tayar kuanza manunuz kwa njia hyo na hela ambayo wamekata paypal watakurudishia
Mkuu nimeenda mlimani city nimeitisha bank statement transaction ya paypal ipo lakini digit sijaona!! Nimewauliza customer care hawajui kama kitu kama hicho!!
we customer care nao unawaamini sana sio?
Piga picha hiyo Transaction moja afu waambie wadau hapa wai-spot
uko sawa kabisa mkuu hata mie ndivyo walifanya walinipa form tu thn mengine walimaliza wao.Mkuu nijuavyo mimi ni kwamba baada ya kwenda CRDB na kupewa form maalum kwaajili ya kuactivate card yako iweze kufanya manunuzi online, wao ndio wataiactivate then watakujulisha, baada ya hapo unaanza manunuzi
Shop online
Mkuu nimeenda mlimani city nimeitisha bank statement transaction ya paypal ipo lakini digit sijaona!! Nimewauliza customer care hawajui kama kitu kama hicho!!
paypal wali kwambia wataku2mia baada ya muda gani. yani pale walikwambia hyo transaction itachukua muda gani kuonekana bank?