ACT yaumbuka Kigoma

ACT yaumbuka Kigoma

Ally mvano

Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
73
Reaction score
24
Habari kamili tazama picha ya Leo Kigoma ujiji cine atlas
attachment.php
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1409588502.188190.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1409588502.188190.jpg
    73.8 KB · Views: 2,644
We,hapo mkutano umeanza au ?

huoni jamaa jukwaani wakimwaga sera!!!? aaaaah aaaaaah aaaaah

WAPI msalani, ifeero, laki siyo pesa nk.
Njooni mkane hilo jengo haliko kigoma mkane na haya magari ya lumumba yaliyopigwa rangi ya act. Njooni mkane ka alivyofanyia andiko Mwakyembe na yule prof miyemnunua kwa tishio la kumrejesha india.
 
huoni jamaa jukwaani wakimwaga sera!!!? aaaaah aaaaaah aaaaah

WAPI msalani, ifeero, laki siyo pesa nk.
Njooni mkane hilo jengo haliko kigoma mkane na haya magari ya lumumba yaliyopigwa rangi ya act. Njooni mkane ka alivyofanyia andiko Mwakyembe na yule prof miyemnunua kwa tishio la kumrejesha india.

Wanajipanga kuja kupinga ukweli mkuu
 
ha ha ha ha alafu ilo landcruiser inayoonekana ni ya mheshimiwa ZZK kwa wazawa au wakaazi wa KG watakubaliana nami
 
Kazi kama ndo hii !! Hatuwezi tena kuwawezesha kwani kazi ya kuua CHADEMA imewashinda
 
hapo ni jimboni kwa Linex mgombea mtarajiwa wa act.
 
Back
Top Bottom