ACT yakataliwa Mbeya

ACT yakataliwa Mbeya

Milango ya wasaliti mbeya imefungwa kabisa na mh sugu pamoja na mwambigija , usaliti ni kama mazao hauwezi kumea kwenye ukanda huu , msingi mkubwa wa usaliti ni njaa kali ya nafaka na pesa , mbeya hakuna nnjaa hizo
 
wamekula chao wakatelekeza kadi na bendera, hongereni vijana wa uyole, wakileta hela tunazila halafu tunawatosa
 
Khaa!! Huu ndiyo wa juu kabisa wa kufikiri wa wanacdm. Jamani muwe mnafikiria hata kidogo tu post za kuleta kwa maGT
 
Mbeya hawawezi kamwe kula chungu kimoja na wasaliti.
 
Waziri mkuu wa Mbeya Kamanda Jonh Mwambigija Akipokea kadi bendera na vitabu vya chama cha ACT kutoka kwa wakuu wa ulinzi na usalama wa Chadema mbeya baada ya kukamata vifaa ivyo vya ACT ambovyo vililetwa kwa kutaka kuwarubuni baadhi wanachama wa Chadema jijini Mbeya hakika chadema Mbeya iko imara sana.
ImageUploadedByJamiiForums1407835284.860960.jpg ImageUploadedByJamiiForums1407835391.379317.jpg ImageUploadedByJamiiForums1407835484.257340.jpg
 
Huyo kajitambua hii sacos inamfia Mbowe zamuhii
 
CHADEMA ni mpango wa Mungu dhidi ya udhalimu wa Magamba ya Lumumba.
 
Duhhhh....sasa wao walienda kuwakabidhi red Brigedi waki jua wamepata wanachama?
 
Bad image!! chama kinachoanzishwa na kuenezwa kwa style hii ni vigumu mno kufika mbali.
 
jamani vipi hii ACT kumbe kweli kabisa wanalipwa na miccm maana wao wanatafuta wanachama toka chadema!.sisi hatutoki chadema maana ndio iko serious
 
Safi sana Mbeya iko Chama kimekataliwa kwao itakuwa Mbeya,sugu wape za USO wakajipange
 
Nawashauri hicho chama kinachoitwa ACT Tanzania kingeanzia Unguja, kule hakuna upinzani wa kutosha.
 
Asubuhi nimewasikia wanampango kuwashitaki cdm kwa kutupa kadi zao
 
Isipokubalika CCM hata matawi yake kama ACT hayana nafasi
 
Back
Top Bottom