Kijana leo JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 2,860 Reaction score 812 Aug 13, 2014 #41 act leteni kadi kwa wananchi, mbona mnaogopa? mlifanya kigoma tu njooni na huku kwetu jamani, au nyie mnahusika na wanachama wa cdm tu na si wananchi?
act leteni kadi kwa wananchi, mbona mnaogopa? mlifanya kigoma tu njooni na huku kwetu jamani, au nyie mnahusika na wanachama wa cdm tu na si wananchi?