ACT yafunika Kigoma

ACT yafunika Kigoma

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,985
Reaction score
1,286
Chama kipya na kinachokua kwa kasi cha ACT kinaendelea na ziara ya ujenzi wa chama. Hizi ni picha za mkutano wa Kasulu Kigoma.

Karibuni mtuunge mkono kwa maslahi ya nchi yetu.
attachment.php

Njano5
 

Attachments

  • IMG_31323197435565.jpeg
    IMG_31323197435565.jpeg
    53 KB · Views: 763
  • IMG_31317652236027.jpeg
    IMG_31317652236027.jpeg
    98.4 KB · Views: 697
  • IMG_31306511994796.jpeg
    IMG_31306511994796.jpeg
    73.3 KB · Views: 2,502
  • received_m_mid_1406123262685_ebf5060c88e484bb94_0.jpeg
    received_m_mid_1406123262685_ebf5060c88e484bb94_0.jpeg
    142 KB · Views: 691
Ni hatari sana kuwa na watu wa jinsi hii kwenye jamii. Ok asante kwa taarifa
 
Kukusanya watu kwenye mkutano ni kufunika?

Fanyeni shughuli za maendeleo walau muwe tofauti na wanaporojo waliowatangulia...
 
Siasa za TZ michosho bwana,eti raia wakienda kuwasikiliza wao wanaona tayari hapa....hawana political logical
 
Hata adc ilikuwa hivyo hivyo,hiki ni kipindi cha mapumziko kwa wakulima hivyo hawana pa kwenda lazima waje kusikiliza porojo za wasaliti.
 
Kukusanya watu kwenye mkutano ni kufunika?

Fanyeni shughuli za maendeleo walau muwe tofauti na wanaporojo waliowatangulia...

Machadema bwana hayakosi maneno. Juzi mlikuwa mnapiga kelele ohhho chama cha mitandao leo tena unasema mikutano sio issue!
 
Mmefunika nini hapo nyi mitoto ya Gambaz huu ni ujuha sasa

BACK TANGANYIKA
 
Machadema bwana hayakosi maneno. Juzi mlikuwa mnapiga kelele ohhho chama cha mitandao leo tena unasema mikutano sio issue!

Talk of chama cha ukanda.....hiki ndo chama cha ukanda haswa.

Chama kipo Kigoma tu baaaasiiii.
 
Picha hiyo iliyochukuliwa ni watu wanaangalia mpira na sio kwenye mkutano wa kisiasa. Ziko wapi bendera za chama na jukwaa kubwa. acha uongo wewe
 
Bado nafanya utafiti sijapata jibu kwamba ni kwanini wanaCCM walio wengi wanaipenda na kuishangilia sana ACT hasa wafuasi wa CCM mitandaoni!!!!!
Umeniwahi mkuu... Hili ndilo swali nililotaka kuuliza na mimi.
 
Bado nafanya utafiti sijapata jibu kwamba ni kwanini wanaCCM walio wengi wanaipenda na kuishangilia sana ACT hasa wafuasi wa CCM mitandaoni!!!!!
Ilikusudiwa kuwa mashine yao ya kupumulia. Wako ICU.
 
Chama cha waha tupu. Kabla hata ya uchaguzi washasema m.kiti anatoka kigoma na ni muha. Je hapo kuna chama au ni saccos ya waha a.k.a actaha. Waliyojifanya wanayakimbia ndo wanayatenda kuliko huko walikotoka. Ptuuuuuuuuuuu, tz kila upuuz unawazekana. Mimi katika maisha yangu huwa simwamini mhaha ni vijeujeu na wasaliti wabinafsi wapenda sifa mno.
 
hata adc ilikuwa hivyo hivyo,hiki ni kipindi cha mapumziko kwa wakulima hivyo hawana pa kwenda lazima waje kusikiliza porojo za wasaliti.

hivyo ndivyo ilivyo,hakika umenena vema!
-kigoma na chadema chadema na kigoma milele.
Ukiwafahamu vyema wanakigoma lazima uwahurumie sana hawa wasaliti wa act'
 
Hawa watu wanasikiliza mahubiri ya kakobe!!!Mkutano gani usiokuwa na bendera za Chama!!???si mgeweka hata za ccm basi!!!!
 
Back
Top Bottom