ACT yaendelea kubomoa ngome za CHADEMA

ACT yaendelea kubomoa ngome za CHADEMA

ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Endeleni kufuruhi si ndicho mlichokitaka watoto wa panya
 
Wasaliti wanazidi kujikusanya tutawajua wote in few days.

Swissme
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Hahaaa

Kuna mwenyejiti aliyerudi ACT?

Kwani aliondoka huko lini?

Mnadanganya mpaka mnasahau kama mmedanganya. Poleni.

Tunasoma between the lines. Hila zenu hazitafanikiwa nyie CCM-B-

Aibuuu!

Mtachaguana wenyewe nyie majuha na mazuzu mso na hili wala lile.

Ni makahaba wa kisiasa. Mwenye mfuko mzito zaidi ndiye mumtakaye. Lakini hamjui mtakavyoanguka mbele ya safari.

Mwulizeni Nakaaya Sumari awlalelezeeni kilichomkuta.
 
watu hovyo kama wewe mnazidi kuididimiza act. Sijaona chama makini cha upinzani kinajisifu kumbomoa mwenzake. Tumieni akili hata kidogo. Mtajikuta kaburi moja na tlp

tumia akili kuongea na wala si kutumia tumbo
 
sasa ikibomoa ngome ya chadema inasaidia nini katika kukuza vyama vya upinzan tanzania. Ni kichaa pekee atafurahi kuona upinzan ukibomolewa na makanjanja wa siasa.

chadema mnamambo mengi kwani enzi za mrema hata kuku hakufa, wananchi wawaogope kama ukoma
 
chadema mnamambo mengi kwani enzi za mrema hata kuku hakufa, wananchi wawaogope kama ukoma

Kwa kuuliza hivyo tayari mimi ni Chadema?! Mimi napenda check and balance. Upinzani uwe na nguvu ili nchi isonge!

Niweke kumbukumbu sawa, sina chama. Ni muumini wa UKWELI na UWAZI. Bila kujali chama! Pole kama wew ni Kijani
 
Upinzani unabomoa ngome za upinzani


Only in Tanzania
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

We mleta huu Uzi Ni mpumbavu saana,inaelekea unatumia kichwa kufugia na SI vinginevyo.Kwani mtu ukiwa mwanachama WA chama flani Ni lazima upigie kura chama chako?Iringa wanaccm walifanyaje kwa chama Chao cha ccm uchaguzi WA 2000?
 
Yan chama pinzani kipo dhidi ya upinzani ahahahahahh zito bana kweli ni mzito... Tehhh zito amekataa kujiunga ccm akaanzisha tawi la ccm
 
Hebu mnisaidie mie Neutral enyi wenye ACT yenu

ACT imeanzishwa kwa dhumuni LA kupambana na CHADEMA tu? Siwasikii mkiongelea CUF, TLP, CCM wala vyama vinginevyo

Hebu msaada ili nipate benchmark sahihi kupima mafanikio yenu
Chadema na Act ni kupasuana tu hakuna kuchekeana liwalo naliwe.
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-chama-ukiwa-ndani-ya-chadema-ni-uhaini.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...tanzania-mnisamehe-kwa-kusaliti-ukombozi.html
 
hakuna mtu asie ndugu wa mtei atakaebaki chadema,leo moshi mjini kadi za ACTzimegawiwa kama njugu,moto wa ACT ni hatari kila kona wanazidi kujiunga natimu ya wazalendo
 
Back
Top Bottom