nyoka wa makengeza
Senior Member
- Mar 25, 2015
- 114
- 21
Zito ana kesi ya kujibu (awe hai au mfu) huwezi kuwasaliti waliowengi wenye dhiki halafu ubaki salama
Hebu mnisaidie mie Neutral enyi wenye ACT yenu
ACT imeanzishwa kwa dhumuni LA kupambana na CHADEMA tu? Siwasikii mkiongelea CUF, TLP, CCM wala vyama vinginevyo
Hebu msaada ili nipate benchmark sahihi kupima mafanikio yenu
Zito ana kesi ya kujibu (awe hai au mfu) huwezi kuwasaliti waliowengi wenye dhiki halafu ubaki salama
Watu hovyo kama wewe mnazidi kuididimiza ACT. Sijaona chama makini cha upinzani kinajisifu kumbomoa mwenzake. Tumieni akili hata kidogo. Mtajikuta kaburi moja na TLP
KUMBUKA ZITO NA MBOWE NANI ALIANZA USALITI..? USALITI wa MBOWE ni kunyima demikrasia ya Zitto asiwe mwnyekiti kwa kuwa chadema ni chama cha MBOWE.
hivi karibun nitatua JIMBO LA KALENGA-IRINGA KUFYEKA MAPORI NA KUPANDA ACT WAZALENDO
KUMBUKA ZITO NA
MBOWE NANI ALIANZA USALITI..? USALITI wa MBOWE ni kunyima demikrasia ya
Zitto asiwe mwnyekiti kwa kuwa chadema ni chama cha MBOWE.
Hakika mkuu maana kazi
kubwa ya ACT ni kuhakikisha wanaisambaratisha CHADEMA.... Hii ndio
sababu CCM will rule this country forever hongereni sana....