johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,939
- 141,914
ACT wazalendo imeunda kamati za kisekta zitakazoiwajibisha serikali na KC Zitto Kabwe atatangaza majina ya viongozi wa kila kamati tarehe 6/2/2022 mbele ya Jukwaa la Wahariri.
Hii ni sawa na Baraza kivuli la mawaziri ambalo mara ya mwisho lilikuwa chini ya Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Hii ni sawa na Baraza kivuli la mawaziri ambalo mara ya mwisho lilikuwa chini ya Chadema.
Maendeleo hayana vyama!