ACT walidangamywa na uislamu wa wenzao........ wakasahau ukweli kuwa CCM ni NYOKA!After all ACT ni hao hao vyama vya kipuuziHii ni baada ya leo chama hicho huko Zanzibar kuagiza kuitishwa vikao vya wanachama ili watafakari Kiburi cha Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuteua Mkurugenzi wa Uchaguzi mamluki, Aliyemsaidia kuiba kura 2020.
Mimi binafsi nilipinga ACT wazalendo kujiunga SUK kwa vile nilijua kwamba haya yatatokea lakini nilipuuzwa.