SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,446
Mwizi wa kura na muuaji,uraisi wake umejaa damu za WapembaDr Mwinyi ni mtu mwenye misimamo sana!
Mwizi wa kura na muuaji,uraisi wake umejaa damu za WapembaDr Mwinyi ni mtu mwenye misimamo sana!
Ni snitch wa kiwango cha juu sanatangu afukuzwe CDM huyu jamaa haaminiki tena !!
Yeye ndio alisimamia Uchaguzi na kuhesabu kura?Mwizi wa kura na muuaji,uraisi wake umejaa damu za Wapemba
Zitto yuko selfish sanaIfike mahali tuwe na utaratibu unaokubalika kwa wote. Mawazo yetu yawe ya kwenda pamoja na siyo kikundi kikundi. Gharama ya kwenda ki vikundi vikundi ndiyo inamtafuna Zito.
Zitto alivuta mpunga mrefu sana kuiingiza ACT kwenye SUT. Mzee Maalim masikini aliingia kwa shingo upande kwa mwenye chama alishaunga juhudiKamwe hao ACT hawawezi jitoa Serikali ya umoja wa Kitaifa huko Zanzibar maana ndiko kula yao iliko. Wanatupigia kelele tu hao.
Kwani wakitaka kujitoa lazima wapige makelele. Mbona walipojiunga walikuwa kimya?
Zitto hawezi kujitoa hata kwa dawa maana huyu ni chawa wa mazaHii ni baada ya leo chama hicho huko Zanzibar kuagiza kuitishwa vikao vya wanachama ili watafakari Kiburi cha Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuteua Mkurugenzi wa Uchaguzi mamluki, Aliyemsaidia kuiba kura 2020.
Mimi binafsi nilipinga ACT Wazalendo kujiunga SUK kwa vile nilijua kwamba haya yatatokea lakini nilipuuzwa.
Mpaka sahivi Zitto ana ajira ya miaka 9Zitto alivuta mpunga mrefu sana kuiingiza ACT kwenye SUT. Mzee Maalim masikini aliingia kwa shingo upande kwa mwenye chama alishaunga juhudi
Kweli aiseeee !!!Mpaka sahivi Zitto ana ajira ya miaka 9
Akae atulieKweli aiseeee !!!