byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,034
- 918
Kwenye UDINI ACT kimeonyesha kua ni chama cha Kidini na hilo lipo wazi.
Kiongozi Mkuu wa Chama(Mwislamu) Makamo Mwenyekiti(Mwislamu) Makamu Mwenyekiti Zanzibar(Mwislamu) katika uongozi wa juu Mkiristo ni Mwenyekiti pekee kati ya viongozi 4.
Hiki ni chama cha Siasa ama Kikundi cha Uamsho???
Ni kweli mkuu angalia hawa hapa wa cdm.
Mwenyekit- -mkiristu
Makam-mkiristu
Katibu mkuu- mkiristu