Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Kikao cha Kamati ya Uongozi ACT Wazalendo kilichofanyika Tarehe 28 Agosti, 2025 Iringa Mjini, Kata ya Kihesa, Mtaa wa Mafifi, kimepitia na kufanya ukaguzi wa hali za uhai wa Wanachama wake wa Tawi kwa ujumla na kubaini kuwa umepoteza sifa za kuwa Mwanachama halali na hai wa Chama cha ACT Wazalendo kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo ya Mwaka 2015, Toleo la Mwaka 2024, Ibara ya 8 (2) (a) (b) na Ibara ya 13 (1) (c) (d) pamoja na Ibara ya 97 (b) (d).
Kwa mujibu wa Ibara ya 97 (1) (d), Kamati ya Uongozi ya Tawi imejiridhisha kuwa wewe Monalisa Joseph Ndala umeshindwa kutekeleza matakwa ya Katiba ya Chama na hivyo kupoteza sifa ya kuwa Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kwa barua hii tunakujulisha rasmi kuwa kuanzia leo Tarehe 28/10/2025, Kamati ya Uongozi ya Tawi la Mafifi tumekuondoa katika orodha ya Wanachama wake katika regista ya Tawi na Kadi Namba 0000245 iliyokuwa imeandikishwa kwa jina lako ipo wazi na tumeitaarifu Idara ya Oganaizesheni, Uchaguzi na Wanachama ya Chama Taifa ili iweze kutolewa kwa Mwanachama mwingine.
Pamoja na salamu za Chama: ACT Wazalendo, Taifa
Kwa mujibu wa Ibara ya 97 (1) (d), Kamati ya Uongozi ya Tawi imejiridhisha kuwa wewe Monalisa Joseph Ndala umeshindwa kutekeleza matakwa ya Katiba ya Chama na hivyo kupoteza sifa ya kuwa Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo.
Kwa barua hii tunakujulisha rasmi kuwa kuanzia leo Tarehe 28/10/2025, Kamati ya Uongozi ya Tawi la Mafifi tumekuondoa katika orodha ya Wanachama wake katika regista ya Tawi na Kadi Namba 0000245 iliyokuwa imeandikishwa kwa jina lako ipo wazi na tumeitaarifu Idara ya Oganaizesheni, Uchaguzi na Wanachama ya Chama Taifa ili iweze kutolewa kwa Mwanachama mwingine.
Pamoja na salamu za Chama: ACT Wazalendo, Taifa