ACT Wazalendo ni chama sindikizi. Hiki chama hakitaweza kuongoza dola kwasababu kinategemea dola hiyo hiyo na viongozi wa chama nao maisha yao wanategemea dola. Hawataweza kudai vizuri mabadiliko kwasababu kwa naomna nyingine wanategemea pesa kutoka kwa hao hao watu wa mfumo. Lakini ni chama chenye usultani mwingi na wanapenda kujitanua huyu yule makamu wa zanzibar hawezi kukaa jela hata siku moja ni walaini walaini sana. Kinacho fanya ACT wazalndo kutokufanikiwa ni Wanzanzibari waliopo kwenye chama hicho. Ndiyo maana hata siku moja hawataweza kuwa kama Chadema kwenye mioyo ya watu
Yaani wanapigania nafasi ya pili!!!
Yaani wanapigania nafasi ya pili!!!