LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Kwahiyo kumuombea Maalim dua ina maana ni sherehe?
Kwahiyo kumuombea Maalim dua ina maana ni sherehe?
Watakuwa wanataka kubalance mambo baada ya tamko lao juu ya pasaka.Kwani anavyojua Dua ni sherehe? Huyo atakuwa na lingine sio hiyo sababu aliyoitoa
Kwahiyo na polisi siku hizi wamejisajiri kwenye siasa?
Ni tatizo la uelewaKwani anavyojua Dua ni sherehe? Huyo atakuwa na lingine sio hiyo sababu aliyoitoa
Wanawadharau sana watanzaniaWatakuwa wanataka kubalance mambo baada ya tamko lao juu ya pasaka.
Hakika ni full kujichanganyaHuyu SSP Mbogo anadhan Khitma ni kama Fiesta!
Angezuia basi na watu kufa hadi Maombolezi yaishe
Serikal yenyewe inaendelea na mambo yake kama kawaida na vigelegele kama kawaida wakati anaapishwa Mama Mulamula Bungen na wengineo
Kuna watu bado wanaogopa kivuli cha marehemu. Usikute OCD Lindi anajua bado Rais ni Magufuli.Yoote hayo ni kwa kumfurahisha nani haswaa?
Kifungu gani cha Katiba wewe msukule wa magufuli?Soma katiba acha kushikiwa akili za Lissu.
Kwani ACT ni chama cha kidini? hadi kiendeshe maombi ya kidini?Polisi wanataka kumchonganisha Mama na raia tu,hicho kisomo ni ibada sasa kama Serikali inafikia hatua ya kuingilia Imani za watu wake hiyo ni hatari nyingine mpyaaaaah!!
Kama mpapai wa kuoza, upepo kidogo tu jitu chiniHii nchi watu hawajifunzi ngoja tuingie tena kwenye maombi waanguke wengine.
Jiwe lisilosemaYoote hayo ni kwa kumfurahisha nani haswaa?
Vyama vya upinzani ni vya wajinga wakubwa na hatukujua kama Tanzania kuna wajinga wengi kiasi hiki,,sasa mnachomekea dua au upuuzi wa maombi ya mwenyekiti wa saccos ili mjipime na maombolezo ya aliyekuwa kiongozi wa taifa hata kama hamkumpenda na kumkubali kama alikuwa pia shujaa wa africa msiba huu ni wa kitaifa msituletee ujinga wenu na mkitaka kafanyeni hiyo dua ujerumani kwa wafadhili wenu na msisahau kurudi na gays-lotion za kusaidia gays kusukumana choo smoothly ,,, mkomeeeeYoote hayo ni kwa kumfurahisha nani haswaa?
Tutashiriki uchaguzi Mhambwe - Zitto Kabwe