GE2025 ACT Wazalendo jitoeni kwenye uchaguzi

GE2025 ACT Wazalendo jitoeni kwenye uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Annunaki

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
2,210
Reaction score
4,631
ACT wazalendo bado hamjachelewa jitoeni kwenye uchuguzi kwa upande wa Bara.

Hamna chochote mnatakachopata kwenye uchaguzi huu, mbele ya hii CCM maslahi.

Mtapigwa kila pembe hadi mchakae.

Tunajua muhasisi wenu Zitto anawapelekesha kwenye chama chenu, lakini kwa hali inavyokwenda ni vyema mngejitoa kutoshiriki uchaguzi wa mwaka ambao ni futuhi.

Msitumike na CCM kwa nguvu kuhalilisha hii futuhi yao ya uchaguzi, japokuwa Polepole anawatuhumu kuwa project yao.
 

Attachments

  • Screenshot_20250904_215816_X.jpg
    Screenshot_20250904_215816_X.jpg
    435.3 KB · Views: 15
Washashupaza shingo watakusikia? Wacha shingo zao zivunjike ndo wapate akili. Bwege hawakumsikiliza watakusikia wewe?
Wanashupaza shingo kama Lissu aliyefikiri ataonewa huruma. Siku akila kitanzi ndio atajua CCM na Serikali yake haitanii kwa wanaohatarisha amani ya nchi hii!!!
 
Amani ya nchi ni nini? Hili neno linanikera kwelikweli.
Nenda Gaza ujiunge na HAMAS. Nakuhakikishia utaelewa maana ya neno "amani" ndani ya muda mfuoi tu!
Ila sasa hivi upo Tanzania. Unakula, unajamba, unalala, unajamba, unakoroma hadi asubuhi! Neno "amani" kwanini lisikukere?
 
Back
Top Bottom