PreGE2025 ACT-Wazalendo: Hatukubaliani na CHADEMA katika ajenda ya ‘No Reform, No Election’

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
ACT CHUMIA TUMBO
 
Agombee tu ili wanachama wake Wauawe kama walivyouawa wapemba 2020 kwa majeshi ya kukodi, halafu yeye na Zitto walipwe hela kwa kulinda Demokrasia
 
Ukiona chama kinaogopa uchaguzi ujue hawajajiandaa
 
Ni haki yao. ACT-WAZALENDO wanajua hata iweje watakuwa na wabunge kutoka Pemba. Na ukweli ni kuwa hawaaminiani. Kila chama kifanye kile inachoona kina maslahi kwake.

Amandla...
 
Wameielewa hata hiyo slogan(NO REFORM NO ELECTION) au wanajadili mambo yaliyowazidi uzito?
 
ACT wana slogan yao ila nia ni moja ,mtoa mada wewe ndio haujamuelewa na hili halijafanywa kwa bahati mbaya na icho chombo cha redio ili kupotosha watu.
 
Ccm B
 
Maza anatafuta Mkuu wa Mkoa wala hayupo ACT kwa dhati
 
Hatushangai. Wakikubaliana nao maana yake wanakiri Chadema ni baba lao kwao.
 
Ni haki yao. ACT-WAZALENDO wanajua hata iweje watakuwa na wabunge kutoka Pemba. Na ukweli ni kuwa hawaaminiani. Kila chama kifanye kile inachoona kina maslahi kwake.

Amandla...

..ukisikiliza maelezo yake utaona kwamba wanaunga mkono Chadema.

..kwa mfano, anasema mabadiliko yaliyofanyika ni hadaa, wanataka mabadiliko ya kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…