Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,509
- 2,695
Hiki chama kimejaa uzalendo mtupu. Zitto atleast tunaona kwenye makosa anakosoa kwenye mazuri anasifia hizi ni siasa mpya kabisa za upinzani Tanzania na nna uhakika kwa uongozi huu wa Magufuli Zitto ndio mpinzani atayeeleweka na raia.
Mlisimamisha Wagombea Ubunge kila Jimbo hivi mlishinda Majimbo mangapi vile? na Urais mgombea wenu alipata kura asilimia ngapi vile?