ACT: Vipi, bado tunashiriki uchaguzi?

ACT: Vipi, bado tunashiriki uchaguzi?

Dr Adam Francis

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
464
Reaction score
687
Agosti 17, baada ya kuzisikia hoja za Luhaga Mpina akiwahutubia wafuasi wake dhidi ya Rais Samia na Serikaliyake, niiandika makala tajwa hapo chini, ambayo jana Agost 26, yametimia.


Wahenga walitueleza, ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji. Hiki ndicho kilichowapata ACT baada ya mgombea urais wao kukatwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMAYghM6K/

Sasa swali linabaki, Je; ACT wataendelea kushiriki uchaguzi au watajiunga na CHADEMA?

Itakumbukwa, hoja za CHADEMA kwenye madai yao ya No Reforms, No Election, ilikuwa ni pamoja na wagombea wao kuuawa, kuenguliwa kugombea, kufungiwa ofisi wasirudishe fomu za uteuzi, kuzuiliwa mawakala wao na kutokutangazwa wakishinda. Mambo haya, ACT sasa nao yamewafika. Kazi kwao, kususa au kutiki
 
Agosti 17, baada ya kuzisikia hoja za Luhaga Mpina akiwahutubia wafuasi wake dhidi ya Rais Samia na Serikaliyake, niiandika makala tajwa hapo chini, ambayo jana Agost 26, yametimia.


Wahenga walitueleza, ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji. Hiki ndicho kilichowapata ACT baada ya mgombea urais wao kukatwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMAYghM6K/

Sasa swali linabaki, Je; ACT wataendelea kushiriki uchaguzi au watajiunga na CHADEMA?

Itakumbukwa, hoja za CHADEMA kwenye madai yao ya No Reforms, No Election, ilikuwa ni pamoja na wagombea wao kuuawa, kuenguliwa kugombea, kufungiwa ofisi wasirudishe fomu za uteuzi, kuzuiliwa mawakala wao na kutokutangazwa wakishinda. Mambo haya, ACT sasa nao yamewafika. Kazi kwao, kususa au kutiki

Hii nayo ni project ya CCM kupitia kwa Zito!!
Japo haikuwa calculated vizuri lakini ndo hivyo!! Mama hataki kusemwa hata kidogo lakini Mpina alikuwa anapiga Spana za hatari. Hakuna namna kaenguliwa
 
Agosti 17, baada ya kuzisikia hoja za Luhaga Mpina akiwahutubia wafuasi wake dhidi ya Rais Samia na Serikaliyake, niiandika makala tajwa hapo chini, ambayo jana Agost 26, yametimia.


Wahenga walitueleza, ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji. Hiki ndicho kilichowapata ACT baada ya mgombea urais wao kukatwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMAYghM6K/

Sasa swali linabaki, Je; ACT wataendelea kushiriki uchaguzi au watajiunga na CHADEMA?

Itakumbukwa, hoja za CHADEMA kwenye madai yao ya No Reforms, No Election, ilikuwa ni pamoja na wagombea wao kuuawa, kuenguliwa kugombea, kufungiwa ofisi wasirudishe fomu za uteuzi, kuzuiliwa mawakala wao na kutokutangazwa wakishinda. Mambo haya, ACT sasa nao yamewafika. Kazi kwao, kususa au kutiki

Ndiyo, si watalinda kura zao!🙈
 
Soon 'anayewafundisha wanafunzi' atajiengua na yeye
 
Agosti 17, baada ya kuzisikia hoja za Luhaga Mpina akiwahutubia wafuasi wake dhidi ya Rais Samia na Serikaliyake, niiandika makala tajwa hapo chini, ambayo jana Agost 26, yametimia.


Wahenga walitueleza, ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji. Hiki ndicho kilichowapata ACT baada ya mgombea urais wao kukatwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMAYghM6K/

Sasa swali linabaki, Je; ACT wataendelea kushiriki uchaguzi au watajiunga na CHADEMA?

Itakumbukwa, hoja za CHADEMA kwenye madai yao ya No Reforms, No Election, ilikuwa ni pamoja na wagombea wao kuuawa, kuenguliwa kugombea, kufungiwa ofisi wasirudishe fomu za uteuzi, kuzuiliwa mawakala wao na kutokutangazwa wakishinda. Mambo haya, ACT sasa nao yamewafika. Kazi kwao, kususa au kutiki

Kwani ACT WAZALENDO si mna julikana nyie ni tawi la Ccm? Mlio kuwa hamjui sasa hapo mjue mmesha wasindikiza Ccm.
Wenzenu wameona mapema huu ushenzi wakasema NR NO ELECTION nyie mka sindikiza oppression. Sasa msiendelee kutu hadaa.
 
Agosti 17, baada ya kuzisikia hoja za Luhaga Mpina akiwahutubia wafuasi wake dhidi ya Rais Samia na Serikaliyake, niiandika makala tajwa hapo chini, ambayo jana Agost 26, yametimia.


Wahenga walitueleza, ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji. Hiki ndicho kilichowapata ACT baada ya mgombea urais wao kukatwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMAYghM6K/

Sasa swali linabaki, Je; ACT wataendelea kushiriki uchaguzi au watajiunga na CHADEMA?

Itakumbukwa, hoja za CHADEMA kwenye madai yao ya No Reforms, No Election, ilikuwa ni pamoja na wagombea wao kuuawa, kuenguliwa kugombea, kufungiwa ofisi wasirudishe fomu za uteuzi, kuzuiliwa mawakala wao na kutokutangazwa wakishinda. Mambo haya, ACT sasa nao yamewafika. Kazi kwao, kususa au kutiki

ACT bado hawana sababu ya kukimbia uchaguzi
 
Tutashiriki kwa mujibu wa katiba ya JMT kama mgombea wetu wa urais hajakidhi vigezo na muda umekwisha wa kurejesha fomu umekwisha basi bendera ya Act wazarendo itapeperushwa vema na wagombea wa kiti cha udiwani na ubunge kote nchini

Bado hamjaelewa. Mmeshindwa hata kumsaidia mgombea kurudisha fomu mpaka anafungiwa geti.
 
Bado hamjaelewa. Mmeshindwa hata kumsaidia mgombea kurudisha fomu mpaka anafungiwa geti.
Hii nchi ngumu sana! Mtu aliyeshindwa kumsaidia mgombea wake kurudisha fomu, anatuaminisha kuwa ataweza kulinda kura?
Huu uchaguzi una pande mbili tu: October tunatiki au No reforms, No election. Anything extra ni maigizo.
 
Agosti 17, baada ya kuzisikia hoja za Luhaga Mpina akiwahutubia wafuasi wake dhidi ya Rais Samia na Serikaliyake, niiandika makala tajwa hapo chini, ambayo jana Agost 26, yametimia.


Wahenga walitueleza, ukiona mwenzako ananyolewa, zako tia maji. Hiki ndicho kilichowapata ACT baada ya mgombea urais wao kukatwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMAYghM6K/

Sasa swali linabaki, Je; ACT wataendelea kushiriki uchaguzi au watajiunga na CHADEMA?

Itakumbukwa, hoja za CHADEMA kwenye madai yao ya No Reforms, No Election, ilikuwa ni pamoja na wagombea wao kuuawa, kuenguliwa kugombea, kufungiwa ofisi wasirudishe fomu za uteuzi, kuzuiliwa mawakala wao na kutokutangazwa wakishinda. Mambo haya, ACT sasa nao yamewafika. Kazi kwao, kususa au kutiki

Tatizo ni ZZK alishalamba asali anawachora tu wenzie.
 
Back
Top Bottom