Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
ACT-Tanzania Vijijini na thabiti.
Chama cha Tanu kilifanikiwa haraka kwa sababu kilijikita vijijini zaidi kuwaelimisha wananchi kukijua na kulitambua taifa lao, nimeanza ziara rasmi maeneo tengevu ya nchi yetu kueneza chama chetu cha ACT-Tanzania,
Nimefarijika sana kuona chama cha ACT-Tanzania kimemea na kuanza kuchipua maeneo tengevu (remote areas) tunaungwa sana mkono maeneo ya kando kuliko vyama vyote ikiwemo chama tawala,
Tuna wagombea wengi zaidi maeneo ya kando kuliko mijini,
Yapo maeneo tunawagombea wanaopambana na ccm wala hakuna wagombea wa vyama vingine.
Na kwa sababu chama chetu kimeanza na misingi sio malengo na madhumuni kama vingine ndio sababu ya sisi kukubalika haraka na kueleweka vyema.
Idara ya ITIKADI, UENEZI NA MAHUSIANO YA JAMII inawapongeza wanachama wote wa ACT - Tanzania na watanzania wote kwa kazi nzuri ya kueneza chama.
Idara ya uenezi inawaasa kuhakikisha juhudi hizi zinazaa matunda, nahimiza tujitokeze kupiga kura na kuzilinda.
Nyakarungu Grayson
Katibu Itikadi,Uenezi na mahusiano ya jamii.
+255 755 023 503
Chama cha Tanu kilifanikiwa haraka kwa sababu kilijikita vijijini zaidi kuwaelimisha wananchi kukijua na kulitambua taifa lao, nimeanza ziara rasmi maeneo tengevu ya nchi yetu kueneza chama chetu cha ACT-Tanzania,
Nimefarijika sana kuona chama cha ACT-Tanzania kimemea na kuanza kuchipua maeneo tengevu (remote areas) tunaungwa sana mkono maeneo ya kando kuliko vyama vyote ikiwemo chama tawala,
Tuna wagombea wengi zaidi maeneo ya kando kuliko mijini,
Yapo maeneo tunawagombea wanaopambana na ccm wala hakuna wagombea wa vyama vingine.
Na kwa sababu chama chetu kimeanza na misingi sio malengo na madhumuni kama vingine ndio sababu ya sisi kukubalika haraka na kueleweka vyema.
Idara ya ITIKADI, UENEZI NA MAHUSIANO YA JAMII inawapongeza wanachama wote wa ACT - Tanzania na watanzania wote kwa kazi nzuri ya kueneza chama.
Idara ya uenezi inawaasa kuhakikisha juhudi hizi zinazaa matunda, nahimiza tujitokeze kupiga kura na kuzilinda.
Nyakarungu Grayson
Katibu Itikadi,Uenezi na mahusiano ya jamii.
+255 755 023 503