ACT Tanzania: Taarifa kwa umma

ACT Tanzania: Taarifa kwa umma

Tamaa + njaa hatari tupu bakini kwenye taaluma zenu siasa inahitaji akili nyingi lakini zungumzeni tuwasikie inawezekana kunasababu zamsingi!!
 
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY
ACT- TANZANIA.
MAKAO MAKUU OFSI YA UENEZI NA MAHUSIANO YA JAMII

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Tanzania, Kadawi Lucas Limbu, kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya ACT-Tanzania, ametengeua uteuzi wa Thomas Matatizo, kuwa mwanasheria wa chama kuanzia leo, tarehe 1 Januari 2015.

Mwenyekiti wa ACT-Taifa, amefuta uteuzi huo kwa kutumia ibara ya 37(w) (vi) ya Katiba ya ACT-Tanzania.

Bw.Thomas Matatizo ametenguliwa uteuzi wake kutokana na kujipa mamlaka ya kufanya kazi asizotumwa na chama, kushirikiana na wanaokidhoofisha chama na kudhihaki maamuzi halali ya kikao yaliyofanyika jana tarehe 31 Desemba 2015 lakini atabaki kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati.

Katika kikao hicho, Kamati ya watu 11 iliyopewa mamlaka ya kuongoza chama kwa mujibu wa sheria Na. 5 ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, iliamua kumvua uwanachama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa ACT, Samson Mwigamba, Mshauri wa chama Prof. Kitila Mkumbo na wanachama wengine kutenguliwa nafasi walizokabidhiwa kwa nia ya kukieneza chama lakini badala yake wanatumia nafasi hizo vibaya kukigawa na kukihujumu chama

Kwa taarifa hii, tunawaomba umma wa Watanzania kokote waliko, kutosikiliza kauli na vijineno vitakavyotolewa na Bw. Matatizo au Mwigamba. Kauli halali na thabiti ya chama itatolewa na mwenyekiti au yule ambaye amempa mamlaka.

Aidha chama chetu hakijampa mamlaka ya kuthibitisha wala kubatilisha maamuzi ya vikao mtu yeyote, bali sheria mama ya chama yaani katiba ndiyo inaelekeza mamlaka yenye uwezo wa kufanya hivyo.

Grayson Nyakarungu,
Katibu Mwenezi - ACT, Tanzania.
0755 023 503

hiki chama cha {act} siwalisema walipokuwa wanajitambulisha kwa uma kwamba ndani ya chama chao hakuna kufukuzana? sasa imekuaje tena? au wamebadilisha msimamo?
 
hii taarifa sio ya kweli ACT walikuwepo na walikuja kumpa kampani zzk hata hivyo ilikua ni vigumu sana kuwajua kwa sababu hawakua na utambulisho wowote i mean hawakuwa na bendera wala tshirt,mara baada ya mkutano kumaliIka nilipata kuongea na kiongozi wa msafara wa ACT, na waliondoka kwa usalama kabisa uwanjani hapo.

Usitake kudanganya uma,act walifika na sare zao na baada kipigo waliondoka na kurudi baadae bila yunifom
 
Mwanzoni tu wameanza tatizo hakuna kitu hapo
 
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY
ACT- TANZANIA.
MAKAO MAKUU OFSI YA UENEZI NA MAHUSIANO YA JAMII

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Tanzania, Kadawi Lucas Limbu, kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya ACT-Tanzania, ametengeua uteuzi wa Thomas Matatizo, kuwa mwanasheria wa chama kuanzia leo, tarehe 1 Januari 2015.

Mwenyekiti wa ACT-Taifa, amefuta uteuzi huo kwa kutumia ibara ya 37(w) (vi) ya Katiba ya ACT-Tanzania.

Bw.Thomas Matatizo ametenguliwa uteuzi wake kutokana na kujipa mamlaka ya kufanya kazi asizotumwa na chama, kushirikiana na wanaokidhoofisha chama na kudhihaki maamuzi halali ya
kikao yaliyofanyika jana tarehe 31 Desemba 2015lakini atabaki kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati.

Katika kikao hicho, Kamati ya watu 11 iliyopewa mamlaka ya kuongoza chama kwa mujibu wa sheria Na. 5 ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, iliamua kumvua uwanachama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa ACT, Samson Mwigamba, Mshauri wa chama Prof. Kitila Mkumbo na wanachama wengine kutenguliwa nafasi walizokabidhiwa kwa nia ya kukieneza chama lakini badala yake wanatumia nafasi hizo vibaya kukigawa na kukihujumu chama

Kwa taarifa hii, tunawaomba umma wa Watanzania kokote waliko, kutosikiliza kauli na vijineno vitakavyotolewa na Bw. Matatizo au Mwigamba. Kauli halali na thabiti ya chama itatolewa na mwenyekiti au yule ambaye amempa mamlaka.

Aidha chama chetu hakijampa mamlaka ya kuthibitisha wala kubatilisha maamuzi ya vikao mtu yeyote, bali sheria mama ya chama yaani katiba ndiyo inaelekeza mamlaka yenye uwezo wa kufanya hivyo.

Grayson Nyakarungu,
Katibu Mwenezi - ACT, Tanzania.
0755 023 503
Hapo nilipotia rangi nyekundu umesemaje vile!!!
 
Mtangazaji wa Clouds kashindwa kuuliza maswali ya msingi Kitila leo.......mtu anasema mimi bado mwanachama kisheria....alipaswa kuulizwa sheria ipi wakati yeye ni mwanachama wa kawaida na ametimuliwa na kamati ya uongozi inatambulika na msajili? kwanini hawa watangazaji hawawezi kuuliza maswali ya msingi?
Waandishi wa habari bongo.ni wa ajabu sana..huwa hawaulizi maswali licha ya mhusika kutoa utetezi/hotuba yenye utata tu mwingi
 
Ukiyaona na kusikia haya, ndiyo utajua kuwa Mbowe, Dr. Slaa, Mnyika, Prof. Lipumba na Maalim Seif, ni viongozi werevu na makini sana. Ni rahisi sana chama cha siasa cha upinzani kusambaratika usipokuwa na viongozi wenye umakini na werevu wa hali ya juu.

ACT - kwa hali ionekanayo haiwezi kwenda kokote zaidi ya kufuata nyayo za TADEA, UDP, n.k.
 
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY
ACT- TANZANIA.
MAKAO MAKUU OFSI YA UENEZI NA MAHUSIANO YA JAMII

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT-Tanzania, Kadawi Lucas Limbu, kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya ACT-Tanzania, ametengeua uteuzi wa Thomas Matatizo, kuwa mwanasheria wa chama kuanzia leo, tarehe 1 Januari 2015.

Mwenyekiti wa ACT-Taifa, amefuta uteuzi huo kwa kutumia ibara ya 37(w) (vi) ya Katiba ya ACT-Tanzania.

Bw.Thomas Matatizo ametenguliwa uteuzi wake kutokana na kujipa mamlaka ya kufanya kazi asizotumwa na chama, kushirikiana na wanaokidhoofisha chama na kudhihaki maamuzi halali ya kikao yaliyofanyika jana tarehe 31 Desemba 2015 lakini atabaki kuwa mwanachama na mjumbe wa kamati.

Katika kikao hicho, Kamati ya watu 11 iliyopewa mamlaka ya kuongoza chama kwa mujibu wa sheria Na. 5 ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, iliamua kumvua uwanachama, aliyekuwa Katibu Mkuu wa ACT, Samson Mwigamba, Mshauri wa chama Prof. Kitila Mkumbo na wanachama wengine kutenguliwa nafasi walizokabidhiwa kwa nia ya kukieneza chama lakini badala yake wanatumia nafasi hizo vibaya kukigawa na kukihujumu chama

Kwa taarifa hii, tunawaomba umma wa Watanzania kokote waliko, kutosikiliza kauli na vijineno vitakavyotolewa na Bw. Matatizo au Mwigamba. Kauli halali na thabiti ya chama itatolewa na mwenyekiti au yule ambaye amempa mamlaka.

Aidha chama chetu hakijampa mamlaka ya kuthibitisha wala kubatilisha maamuzi ya vikao mtu yeyote, bali sheria mama ya chama yaani katiba ndiyo inaelekeza mamlaka yenye uwezo wa kufanya hivyo.

Grayson Nyakarungu,
Katibu Mwenezi - ACT, Tanzania.
0755 023 503

Pole zenu Alliance for Cowards and Traitors, ACT. Kujenga chama from scratch Hadi kifikie kuitetemesha dola na kuwanyima usingizi watawala sio lelemama!! Badala ya kupambana na CDM, CUF na NCCR waungeni mkono, they have a rich experience mpaka hapo walipo, wana kitu kinachoweza kuwasaidia!! Hata hivyo kujikwaa sio kuanguka, Anzeni upya, watanzania wanahitaji mabadiliko, kuna mchango chanya mnaoweza kuutoa, Best wishes in 2015
 
Usitake kudanganya uma,act walifika na sare zao na baada kipigo waliondoka na kurudi baadae bila yunifom

Acha uongo ndugu yangu hiyo ishu sio kweli mi nilikuwepo uwanjan mwanzo mpk mwisho wa mkutano,jamaa wa act walipaki costa yao kwenye mwembe chini ya mnara wa mashujaa binafsi niliongea nao na wakaondoka jioni hiyohiyo kwenda lindi ili asubuhi yake waanze safari ya dar.....mi ni cdm na siipendi act but kunako ukweli ntasema tu,msipende mambo ya "hear say"
 
Hawa wanapingana juu ya nani awe mwenyekit kati ya zitto na huyu wa sasa .Ila ukiisoma hiyo barua utapata taarifa kuwa ACT hakina maisha hapo mwenyekit angalikuwa mchaga ndio ungesikia lakini nafikiri si mchaga

Na ACT nako mmeku-designated kuwa ni kwa wachaga? Hivi kumbe hata wale waasisi ni wachaga?? Acheni masihala!
 
Kama Mwanasiasa Mchanga najifunza mambo makubwa 3 ktk siasa ili at least udumu dumu ktk politics, mosi ni kutoruhusu njaa iteke akili na uwezo wako wa kufikr pili ni bora kufanya mambo kitimu kama chama kuliko kujifanya mjuaji tatu kutangatanga kisiasa kunamshusha sana mtu, pale tukipishana na chama chang cdm nitakuwa na subira mpaka wazo lang likubalike kuliko kuhamia chama kingne mapema mapema.
 
Ha ha haaa.....mkuu Nguruvi3 nakushukuru sana kutupia hii kitu natamani kuwaona wale ndg...mliokuwa mnabishana waje tena....hapa Cku zote ukweli ni km MOSHI haufichiki wacha nipitie hii Link nijikumbushe mambo Thnx Mkuu n HAPPY NEW YR...!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom