ACT Tanzania: Nani yuko nyuma ya hiki chama?

ACT Tanzania: Nani yuko nyuma ya hiki chama?

Mbona unajikayaga kanyaga, kama CHADEMA hawajamfukuza Zitto mbona Lissu aliutangazia umma kuwa ZZK siyo tena mwanachama wa CHADEMA?

Dogo mbona unakuwa mzito kuelewa mambo marahisi.
"No official communication".

Kwani Lisu nimsemaji wa chama?
 
Nyuma ya act kuna Watz wazalendo wapenda maendeleo, suala la Zitto na Cdm liliisha tangu aliposhindwa kesi na Zitto na uanachama wake ndan ya Cdm ni ngumu kulisemea kwan nitakuwa nasemea Moyo wa mtu. Una swal lingine...? Naona Act inawanyima usingizi sana
 
Nyuma ya act kuna Watz wazalendo wapenda maendeleo, suala la Zitto na Cdm liliisha tangu aliposhindwa kesi na Zitto na uanachama wake ndan ya Cdm ni ngumu kulisemea kwan nitakuwa nasemea Moyo wa mtu. Una swal lingine...? Naona Act inawanyima usingizi sana

Livejr, mimi sina mrango wowote wakisiasa ila nilikuwa najaribu kufanya analysis ya haya matukio yalivyo jipanga na yalivyo tiririka kana kwamba nimpango uliyokuwa umeandaliwa tayari ukiwa unasubiri muda ufike utekelezaji uanze.
 
la hii picha itammaliza Afande Sele ! Watu wabaya!
Nyuma ya hawa
11060026_734015780052520_7876007614045696427_n.jpg
 
Chama hiki cha kisaliti napata kichefuchefu kila ninapokitafakari.
 
Yaani kikija kuota mizizi CHADEMA na CCM itakuwa mibuyu ya kutisha
10384842_1591116491126884_6457595326842655782_n.jpg
 
Mbona unajikayaga kanyaga, kama CHADEMA hawajamfukuza Zitto mbona Lissu aliutangazia umma kuwa ZZK siyo tena mwanachama wa CHADEMA?

Inamaana Makonda akisimama mbele ya vyombo vya habari akasema Lowassa sio mwanachama wa ccm tena, basi Lowasa amwandikie barua spika ya kujivua ubunge.

Barua inakuwa na kumbukumbu namba na tarehe na inasainiwa na mtendaji wa chama.

Zito mwenyewe alisema na yeye ameyasikia kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii lakini hajapewa barua yoyote kutoka kwenye chama chake.
 
Inamaana Makonda akisimama mbele ya vyombo vya habari akasema Lowassa sio mwanachama wa ccm tena, basi Lowasa amwandikie barua spika ya kujivua ubunge.

Barua inakuwa na kumbukumbu namba na tarehe na inasainiwa na mtendaji wa chama.

Zito mwenyewe alisema na yeye ameyasikia kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii lakini hajapewa barua yoyote kutoka kwenye chama chake.

Zitto amejiuzuru kwa sababu jamii ilishaangaziwa kuwa yeye siyo mwanachama wa CHADEMA. Nadhani hayo maswali ulitakiwa uwaulize Lissu na Slaa, kama siyo chuki binafsi kwa nini walikimbilia kuutangazia umma kuwa Zitto amefukuzwa chama alafu hawajaandika barua kwa tume kwa kasi hiyo hiyo!
 
Mwanzoni mwa mwaka huu Zitto alikaririwa akisema atatoa hatma yake ya kisiasa ndani ya chadema katikati au mwishoni mwa mwezi wa tatu.

Wakati huhuo ACT wamepanga kufanya uchaguzi wao mkuu mwisho wa mwezi wa March.

Mahakama ikatoa ruling kuwa Zitto kashindwa kesi. Jiulize kama mahakama ingetoa ruling kuwa Zitto kashinda lile zuiyo, je ingekuwa je?

Zitto kamwandikia Speaker kuwa kajiuzulu ubunge, wakati chama chake bado hakija mfukuza kwani hajapewa barua yeyote ile ya kiofisi ikimwambia kuwa kafukuzwa uanachama rasmi.

Chama ndo kinatakiwa kuliandikia bunge na NEC kuwaarifu kuwa Zito sio mwanachama wao tena.

Zitto kapokelewa tu ACT nakuanza rasmi kazi ya maandalizi ya uchaguzi mkuu na uzinduzi wa chama.

Je, nani yuko nyuma ya ACT? Mahakama imetoa ruling against Zito, kame ingemfeva je ingekuwa je?

Kwanini zito ajitoe Chadema wakati hakijamfukuza uanachama?

Mbona asingesubiri mpaka bunge livunjwe? Kwanini mapema?

Zito kwanini hakusubiri miaka 2 ipite arudi chadema kuomba uanachama upya?

Unganisha matukio utapata jibu.

Cc: Pascal, Mzee Mwanakijiji, et al.

Edward Lowassa yuko nyuma ya harakati zote za ACT. Yeye ndio mfadhili Mkuu. Hiki Chama kimeundwa kwa ajili ya kumuhifadhi Lowassa kama akitoswa CCM.

So mwaka mwaka EL ni mgombea urais, either CCM au ACT!
 
Amepewa barua na chama??? Yeye mbona kamwandikia spika barua na hakutangaza pale bungeni au kwenye vyombo vya habari ikaishia hapo.

Kwakichwa Chako unafikiri Zito ni mjinga.
Hivi ndugu ulitegemea chama kama CDM watoe barua kwa ZZK baada ya kuwa alifukuzwa tangu mwaka jana na alikuwa akiishi kwa fadhila za Mahakama ndani ya chama? Barua ya nini maana alifukuzwa kwenye kikao cha mwaka jana yeye pamoja na Kitila na Mwigamba. Lakini kumbuka humu ndani kuna mtu alishawahi kutuma uzi unaosema EL anahusika kuifadhili ACT fedha ili ijiimarishe...sina hakika na kitu hicho lakini kauli za EL jana juu ya watu wanaomtembelea na jinsi asivyokiogopa chama chake inaonyesha mguu mmoja uko ndani na wa pili uko nje...je, nje huko ni CDM, CUF, ACT, NCCR au wapi?
 
Edward Lowassa yuko nyuma ya harakati zote za ACT. Yeye ndio mfadhili Mkuu. Hiki Chama kimeundwa kwa ajili ya kumuhifadhi Lowassa kama akitoswa CCM.

So mwaka mwaka EL ni mgombea urais, either CCM au ACT!

mkuu naomba udhibitisho wa hizi tuhuma kali
 
Inamaana Makonda akisimama mbele ya vyombo vya habari akasema Lowassa sio mwanachama wa ccm tena, basi Lowasa amwandikie barua spika ya kujivua ubunge.

Barua inakuwa na kumbukumbu namba na tarehe na inasainiwa na mtendaji wa chama.

Zito mwenyewe alisema na yeye ameyasikia kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii lakini hajapewa barua yoyote kutoka kwenye chama chake.

makonda hana mamlaka hayo CCM
na mbowe na lissu wana mamlaka hayo

mifano yako haina uwiyano
 
Mwanzoni mwa mwaka huu Zitto alikaririwa akisema atatoa hatma yake ya kisiasa ndani ya chadema katikati au mwishoni mwa mwezi wa tatu.

Wakati huhuo ACT wamepanga kufanya uchaguzi wao mkuu mwisho wa mwezi wa March.

Mahakama ikatoa ruling kuwa Zitto kashindwa kesi. Jiulize kama mahakama ingetoa ruling kuwa Zitto kashinda lile zuiyo, je ingekuwa je?

Zitto kamwandikia Speaker kuwa kajiuzulu ubunge, wakati chama chake bado hakija mfukuza kwani hajapewa barua yeyote ile ya kiofisi ikimwambia kuwa kafukuzwa uanachama rasmi.

Chama ndo kinatakiwa kuliandikia bunge na NEC kuwaarifu kuwa Zito sio mwanachama wao tena.

Zitto kapokelewa tu ACT nakuanza rasmi kazi ya maandalizi ya uchaguzi mkuu na uzinduzi wa chama.

Je, nani yuko nyuma ya ACT? Mahakama imetoa ruling against Zito, kame ingemfeva je ingekuwa je?

Kwanini zito ajitoe Chadema wakati hakijamfukuza uanachama?

Mbona asingesubiri mpaka bunge livunjwe? Kwanini mapema?

Zito kwanini hakusubiri miaka 2 ipite arudi chadema kuomba uanachama upya?

Unganisha matukio utapata jibu.

Cc: Pascal, Mzee Mwanakijiji, et al.
Maswali dhaifu... Its like unataka vitu vitokee unavyotaka wewe

Act haina chochote zaidi ya media propaganda. Hata mrema had more impact alipoenda tlp kuliko hi I ya chama cha afande sele
 
Itakuwa hufuatilii siasa kwa ukaribu bali unasikia stori tu za kijiweni na kuja kutuandikia pumba zako zenye ushabiki wa bayana. Jaribu kufuatilia katiba ya chadema inaposema kuwa " Kama mwanachama wa chadema itakuwa amekishitaki chama na ikatokea chama kushinda ktk shitaka hilo basi maanachama huyo atavuliwa uanachama moja kwa moja" na ukiangalia kwa Ztt ameshindwa kwahyo hana chake tena ndani ya chadema.
Pia hata mwanasheria mkuu ameshautangazia umma tayari kupitia vyombo vya habari kuwa Ztt sio mwanachama tena wa chadema.
Hana sababu ya kusubiri barua tena wakati sheria iko wazi hvyo hyo barua atapewa wakati yupo huko aliko.
Halafu unakuja na kusema oooh angekaa miaka 2 aje aombe uanachama tena wa chadema inaonyesha bado hitajiko ndani ya chadema. Acha ushabiki utaweza kuchambua mambo
 
Back
Top Bottom