ACT-Tanzania na Msingi wa Utu

Hiki chama kina wanachama wawili tu, Kitila na Mwigamba hata mwenezi anaogopa kuandika jina lake.
 
Haka ni ka chama kanakosubiri kuzikwa kigoma kwa mara nyingine
 
ebu kuwa objective ndg,I know you are better than this.
 
Hiki chama kina wanachama wawili tu, Kitila na Mwigamba hata mwenezi anaogopa kuandika jina lake.

Na sasa cha ajabu zaidi ni kwamba pamoja na kuwa na wanachama wawili tu, kimepata usajili wa kudumu!? au pengine hii ni kwa sababu ya misingi yake! lakini kwani sheria inasema kwamba chama kikiwa na misingi mizuri, kisajiliwe hata kama kina wanachama wawili?
 
Mbona huu ni msingi mkuu wa NCCR? That means hamna jipya!!
 

Kwani msingi mzuri wa chama unatokana na kuuandika au kuufafanua jamii forum? Mbona CCM kina misingi mizuri sana, hata huo utu umeelezwa vizuri sana? It is one thing to have good plans on paper, but it is completely another to implement those good plans! Tatizo sio kwamba misingi mizuri haipo,hta kidogo! tatizo ni kwamba hatuitekelezi misingi hiyo. Sasa nyie wasaliti unaweza kujustify vipi misingi mizuri km haijaonekana in practice? Ni kipi mlichokifanya kuonesha kwamba nyie mnatekeleza misingi mizuri ya utu? Kwani nani anashindwa kunadika kwenye katiba yake kwamba chama au NGO yangu itazingatia misingi ya utu? Mbona katiba ya tanzania inazungumzia vizuri sana haki za binadamu lakini hazitekelezwi? Acheni blah blah nyie wasaliti!
 
haka ka chama kanawatoa povu sana mpaka mnaoana ndoa ya bila anwani wakati wapumbav.u nyie mnatapika maji taka na nyie ni buku 7 chadema makario nyie
 
Kama mwenezi alivyofafanua wakati inaonekana mwenezi na wewe ni mtu mmoja maana mawazo na akili zenu zinafanana...

hatufafanani mawazo wala akili,,,sema mawazo na akili zetu zinazingatia misingi mikuu ya chama chetu,,hivyo wanaACT popote tunaonekana ni mapacha.....vyama amabvyo havina misingi au hawaisimamii wanachama na viongozi wake kila mtu na rwake...

 
Wana ACT mnasemaje kuhusu kauli hii ya mwanachama wa ACT
 
Wana ACT mnasemaje kuhusu kauli hii ya mwanachama wa ACT

Mimi kwa maoni yangu nadhani alichokiandika kwa kiasi kikubwa kina mantiki. Vinginevyo pengine tungechambua ni wapi kapoteza mantiki katika andiko lake.
 
Nafikiri hii hoja bado ni valid ila utekelezaji wake unaweza kuathiriwa na jamii yenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…