Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
Chama hakina hata katiba wala viongozi wa kitaifa kitafanyaje uchaguzi! anayebisha anitajie katibu mkuu wa hiyo ACT ni nani?
Act ni chama cha siasa kilichoundwa kwa malengo maalum, kilikufa hata kabla hakijazaliwa, kwakuwa lengo kuu lilikuwa kukivuruga CHADEMA, mission ambayo ilishindwa vibaya sana
Ofisi zake nyingi zilizozinduliwa kwa makeke mengi Leo zimebaki na makufuli milangoni kimsingi hakipo tena