ACT presha ya nini!

mzee mtei anatamani ahamie chama makini cha ACT
 
Unajitahidi kukiwakilisha chama cha wahuni wa Kigoma....

ACT......(Alliance for Coward Traitors)

muasisi wa chadema mzee mtei anaipenda sana ACT, ameshindwa kuficha na kuamua kusema ukweli
 
Naona umekuwa mpole....Hata roho yako inakusuta kwamba unayoyaongea hata wewe unajua ni ndoto za alinacha...

Pole sana....Najua ni njaa tuu zinakusumbua....

mzee mtei anaiogopa sana ACT
 
Naona wewe kisabengo ndo unakiwakilisha chama huku na wahuni wengine wa Buku 7fc..

inabidi muwe wapole tu. bosi wenu ameshaonyesha uoga kwa chama makini cha ACT
 
Bora umesema maana hata mimi nilikuwa ACT ni kitu gani, na kama ni chama kimesajiriwa lini na viongozi wake ni nani?
Jamani ebu tuweni magreat thinker kwa kuacha kujadili vitu ambavyo havipo na havita kuwepio. Hiyo ACT ndio nini? kama sio kupotezeana muda tu.
 
Kwa kweli ni ajabu kwa chama cha upinzani kuanzishwa kwa ajili y a kupambana na chama kingine cha upinzani.
 

Waanzie na kutatua migogoro ya aridhi kati ya wakulima na wafugaji huko vijijini!! Siasa hawaziwezi!!
 
we jamaa huwa sikuelewagi..hivi unaandikaga kichaga au kikibosho? yani wewe ni bogus sana .kama chadema ndio inawategemea viazi kama wewe basi ni hasara
Una hasira km gaidi aliyevaa baibui huku kabeba unga..akiona mbwa inamfuata......Zitto nilidhani ni sura yae tuu mbaya kumbe hadi akili yake ni mbaya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…