ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?


Mkuu ushaur wako hapo juu kabisa uzingatiwe na isiwe tu vyeti vya kuzaliwa bali na vyeti vya uthibitisho wa afya ya akiri maana visebengo wengi humu ndani wanautapia mlo wa akiri isije kuwa tuna jibishana na mamento humu ndani
 
Last edited by a moderator:
mbowe na slaa usiku wanaweweseka kwa kuiogopa ACT
 
Badili kichwa cha habari yako, umeongelea kuwakomboa Watanzania, kwa nini kiwe mbadala wa CHADEMA, kwani nchi hii inatawaliwa na CDM? Kama kitawakomboa wtz, basi ni kutoka kwa wale ambao wanawatawala, yaani magamba, kwa hiyo kiwe chama mbadala cha CCM. Au ndio wamekutuma mpaka unaandika habari ambayo haina mantiki?
 
HIVI chama cha MWANDIGA TU KINAWEZAJE KUWA MBADALA WA CHAMA CHA KITAIFA tena chenye wanachama mpaka MKUNAZINI NA MICHEWENI ?
 

mkuu, tofautisha kati ya vyama vya upinzani na chama tawala, ccm ni chama tawala, chadema na act ni vyama vya upinzani,
 
Takbilllllllllll alahwakbal teh teh teh .karibu kwenye chama cha kiislam.
 
mbowe na slaa usiku wanaweweseka kwa kuiogopa ACT
Mnahangaika sana kukipigia debe chama chenu kingine(actccm) kwa kuwakusanya wasaliti,wala rushwa,matapeli na wote wenye sifa chafu ili wawe pamoja,hahahaaaaaaaaa! Hata mkiunda vyama 1000 kushindana na chadema hizo zitabaki kuwa hadidhi.
 
rafiki yangu narudia hivi kelele kama hizi tulisikia dimond jubilee 2010 kupitia wazee fulani but am telling that mimi sio chadema lakini mikakati ya hawa vijana ni sawa chama fulani kilichoanzisha harakati zaqke 1995 kwa lengo la kuwakomboa watu wa kundi fulani linalodhani kuwa linaddimizwa na kundi fulani

zitto kwa kutokujua au kwa kujua ataingia kwa mtego huo wa kutetea kundi fulani la watu fulani kwa wakati fulani while geting support from watu fulani na hii tumeisikia kwenye makongamano mengi na harakati nyingi ya vikundi fulani


mathematically proof
kwenye chama chochote chenye usajili wa kudumu lazima kiwe na wafuasi wenye tabia fulani

  1. Watu wenye upeo wa kitaifa
  2. Watu wenye upeo wa makundi fulani
  3. Watu wenye upeo wa Matumbo yao na familia zao
let

  1. let X be Watu wenye upo wa kitaifa
  2. let Y be wenye upeo wa makundi ya yaliyowatuma
  3. Let z be Watu wenye upeo wa Matumbo yao na familia zao

CCM
  1. watu wenye tabia Z ni wengi sana (kwa mfano ......unajua )
  2. watu wenye tabia y ni wastani, Watu hawa ni watu walioamia kutoka chama fulani cha Siasa huku wakiwa na malengo ya kumsaidia mwenyekiti wa CCM katika kulitimiza lengo la kundi la (Note that, this are not CCM , Hawana kadi ya CCM na ndio mashabiki wakubwa wa CCM na ndio wapiga kelele na kutukana kwenye Blogs)
  3. Watu wenye tabia X ni wachache sana (nahisi mwakembe na magufuli tunaweza kuwalazimisha kuingia hapa although am not sure )

CHADEMA
  1. Watu wenye tabia Z ni wachache sana
  2. watu wenye tabia Y ni wachache pia, hawa ni watu ambo walianza siasa wakiwa na mitazamo X lakini waliposhawishiwa na wazee, viongozi wakuu wa CCM na vyama vingine vya siasa vyenye idadi kubwa ya watu wenye tabia Y, vijana hawa wa chadema walibadilika toka tabia X na kwenda tabia Y kwa lengo la kuunganisha nguvu katika kutetea maslai ya makundi na baadhi ya watu
  3. Watu wenye tabia X ni wngi sana , Andi these people ndio watakifanya chama cha chadema na nguvu hata kikitisha CCM

CUF

  1. watu wenye tabia Z ni wachache sana kabisa
  2. watu wenye tabia Y ni wengi sana sana kabisa
  3. watu wenye tabia X ni wachache sna

ACT
ACT akiwezi fanikiwa kwasababu watanzania wanamatatizo mengi ambayo wenye kuyatatua lazima awe mtu mwye mtazamo wa kitaifa( nishati ya tanzania, maliasili zetu, ardhi yetu na sio kigoma yetu au KLM yetu )
NB
kwasababu basi chama cha ACT kinaanzishwa huku kikiwa na na wafuasi wenye Tabia Y
  1. kinahitaji kuchukua watu wache kutoka chadema ambao They call them wasaliti ,wamefanikiwa kwasababu chadema haitaki wasaliti
  2. kichukue watu wa wastani CCM wenye tabia Y ambao wanakadi ya Chama fulani cha siasa na ni wapinzani wakubwa wa Lowasa kwasababu EL hana maslai na kundi lao , ACT bado hakitafanikiwa kwsababu watu wenye tabia Y bado wana matumaini ya Lowasa kutolewa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi
  3. wachukue watu wengi kutoka CUF wenye tabia Y ambao ni majority, Cuf si rahisi kuridhia chama chao kife kwa kukiimarisha ACT

hayo ni Maoni yangu ambayo naamini ni Sahihi kabisa kwa siasa ambayo nimeona vyama hivi vikifanya for more than 15 year
 

mkuu umenena dogo anatumia pesa aliyohongwa na usalama wa taifa. mdini mkubwa huyu
 
kila raheri ACT nipo tayari kuwa mwanachama wa chama hicho, kuna jimbo wilaya ya kwimba mwanza linahitaji ukombozi
 
hivi candidate wao ni yule mwenye ujasiri pale KGM tu
 
Mbadala wa TFF
 
kila raheri ACT nipo tayari kuwa mwanachama wa chama hicho, kuna jimbo wilaya ya kwimba mwanza linahitaji ukombozi

karibu sana mkuu. uchaguzi wa viongozi wa kitaifa, kimkoa na kiwilaya utafanyika soon. sasa hivi kuna viongozi wa muda tu, hiki ni chama cha kidemokrasia
 

daftari la wapiga kura lina uhusiano gani na watu kujiungaACT???
kajipangeni upya,hizi single zenu zimekaa kishamba!!
 
Chama cha wasomi ni ACT na cha vilaza ni Chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…