ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

duanzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
16,428
Reaction score
225
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
weka picha mkuu tuone kama ni kweli.
 
Sita ndo mpango mzimaa jeeeembee


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

Una mahaba!!!!! Hata shetani anayaogopa
 
@ abakorakamo wewe mzima kweli, vijana gani tujiunge kwenye chama chenye mkono wa makachero na ufadhili wao, huyooo mdini na mkabila ndiye msomi acheni kutumia ujinga wa tanzania kuwaibia ninyi makanjanja.......hicho si chama cha kigoma japo wanakigoma waelewa hawawezi kupoteza muda kwenye hilo genge la wasariti
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
Kwa nini kisiwe mbadala wa CCM badala ya CHADEMA? Je unahitaji kuboreshwa kwa daftari la wapiga kura ndiyo vijana wajiunge? Hivi hiki chama kimeshasajiriwa, maana ninakisoma tu kwenye mitandao? Viongozi wake ni akina nani hasa?
 
@ abakorakamo wewe mzima kweli, vijana gani tujiunge kwenye chama chenye mkono wa makachero na ufadhili wao, huyooo mdini na mkabila ndiye msomi acheni kutumia ujinga wa tanzania kuwaibia ninyi makanjanja.......hicho si chama cha kigoma japo wanakigoma waelewa hawawezi kupoteza muda kwenye hilo genge la wasariti

mkuu, ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa dini, kabila wala kanda
 
CHADEMA imesabaratika lini au wee mwwenzetu unaishi Kisiwa cha PATIMO ambako News hazukfikii sasa umeamua kuibuka na habari za Uongo????

Viongozi wasomi akina nani? Zito na Kitila?

ACT NI CHAMA MFU CHENYE VIONGOZI WAFU KABLA HATA YA KUPATA USAJILI WA KUDUMU.
 
Kwa nini kisiwe mbadala wa CCM badala ya CHADEMA? Je unahitaji kuboreshwa kwa daftari la wapiga kura ndiyo vijana wajiunge?

mkuu. vijana ambao hawajajiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni mashabiki sana wa chama makini ACT
 
Tufahamishe yafuatayo: Kwani usomi unaosema ni upi? Wa kuwa na digrii? Kwani hili ndio tatizo, mbona kuna wasomi lukuki ccm! Lengo ni vijana? Umakini wake ni nini, waanzilishi sio wale walichafua cdm? Mikakati ya kuleta mabadiliko imekaaje? Bila kutuambia hayo kwanza imekuwaje ukajisifu! Haiwezekani ukawa mpenda sifa. Tutawaamini vipi?
 
Tufahamishe yafuatayo: Kwani usomi unaosema ni upi? Wa kuwa na digrii? Kwani hili ndio tatizo, mbona kuna wasomi lukuki ccm! Lengo ni vijana? Umakini wake ni nini, waanzilishi sio wale walichafua cdm? Mikakati ya kuleta mabadiliko imekaaje? Bila kutuambia hayo kwanza imekuwaje ukajisifu! Haiwezekani ukawa mpenda sifa. Tutawaamini vipi?

vijana ndio nguvu kazi ya taifa
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

Ninyi maCCM mtahangaika sana ipo siku mtaunda hata chama kiitwacho Tigo kwa Tigo leo hii kesho hivi yaani hamtaacha kuona kila rangi CHadema kitawapeleka mpera mpera mpaka mpoteane mapumbafu nyie....
 
Chema CHAJIUZA,kibaya CHAJITEMBEZA!

Peooooooples Poweeeeeeerrrrrrrrrrrrr!

haswaaaaaaaa wanajua hilo ndio maana wanahangaika na porojo hapa mitandaoni, waache waje kuna sehemu tuttwabana tu hiko kidude chao kinaitwa ACT
 
mkuu. vijana ambao hawajajiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni mashabiki sana wa chama makini ACT

Kama NCCR ambayo imepoteza mwelekeo mpaka Leo ina wabunge na madiwani japo wachache Je itakuwa cdm ambayo kila kona ya nchi ina mashabiki. Na zaidi ni chama kikuu cha Upinzani. Wasaliti wanahama wenyewe wanarudi CCM bila ya wanachama. Sasa ACT itapata wapi wanachama? Mbona wakitoka cdm wanaenda CCM?
 
mkuu .umeshalewa gongo? jiunge na act ukombolewe

Mkuu,

Nimekuwa nikisoma mada nyingi sana katika ukumbi huu ambazo umezianzisha!

Naomba nikiri kuwa,Kati ya wachangiaji wote wa JF ,nafikiri wewe utakuwa na akili ndogo kuliko wote!!!?

Nafikiri ujazo wa akili yako haujai ujazo wa KISODA!
 
Back
Top Bottom