GE2025 ACT ni kama Dorothy amenyang'anywa tonge mdomoni

GE2025 ACT ni kama Dorothy amenyang'anywa tonge mdomoni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
"Wakati tu mchakato umetangazwa, Kiongozi wetu wa Chama, ndugu Dorothy Semu alitangaza hadharani nia yake ya kugombea Urais na alifanya mahojiano na vyombo vya habari na aliendelea kufanya harakati zake za kuwatangazia umma kwamba wakati ukifika atagombea Urais.

"Hadi juzi tumemaliza tulikuwa kwenye ziara. Alikuwa akijinadi kama mgombea Urais. Wapo watu ndani ya Chama wanakidhi na sifa za kugombea Urais. Wana sifa na viongozi wetu wanatuongoza.

Soma pia: Mwenyekiti ACT Wazalendo Dorothy Semu: Nikiteuliwa serikalini sitakubali uteuzi. Sitamani kufanya kazi nyingine zaidi ya ACT

Screenshot 2025-08-18 005714.png

"Huwezi kusema mtu kama Kiongozi wa Chama ambaye anatuongoza wanachama karibu maelfu kwamba hana sifa za kuwa mgombea"- Monalisa Joseph Ndala - Katibu Muenezi ACT- WAZALENDO mkoa wa Dar - es Salaam
 
Conman(Kenya wanawaita wakora) anatazama ruzuku tu ameona mpina ataongeza zaidi ya maradufu
 
"Wakati tu mchakato umetangazwa, Kiongozi wetu wa Chama, ndugu Dorothy Semu alitangaza hadharani nia yake ya kugombea Urais na alifanya mahojiano na vyombo vya habari na aliendelea kufanya harakati zake za kuwatangazia umma kwamba wakati ukifika atagombea Urais.

"Hadi juzi tumemaliza tulikuwa kwenye ziara. Alikuwa akijinadi kama mgombea Urais. Wapo watu ndani ya Chama wanakidhi na sifa za kugombea Urais. Wana sifa na viongozi wetu wanatuongoza.

Soma pia: Mwenyekiti ACT Wazalendo Dorothy Semu: Nikiteuliwa serikalini sitakubali uteuzi. Sitamani kufanya kazi nyingine zaidi ya ACT


"Huwezi kusema mtu kama Kiongozi wa Chama ambaye anatuongoza wanachama karibu maelfu kwamba hana sifa za kuwa mgombea"- Monalisa Joseph Ndala - Katibu Muenezi ACT- WAZALENDO mkoa wa Dar - es Salaam
Nimeangalia wagombea urais wa vyama vya upinzani, ni vihoja vitupu, Samia anabebwa na, nguvu za, dola,Ila ni kilaza tu, hawa, wengine wa UPD, Dp,cuf, chauma,na uchafu mwingine, wakati wanaenda kuchukia form za uchaguzi, nilichokiona, kutoka kwa maofisa wa "tume huru ya uchaguzi" Facial expressions, na body language yao, ni kama wanajiuliza hivi haya majitu ni majinga,au, yanajifanya!
Walivyokuwa wanawaangalia wale wanaochukua forms, ni, kama vile maprofesa wa chuo kikuu watembelee shule ya secondary, harafu wanafunzi, wawe wanafanya maonyesho ya sayansi, na tekinolojia! Hawa maprofesa, watajifanya wapo makini kufatilia, Ila wanajua, hawa madogo wanajidurahisha tu! Hakuna cha maana hapa
 
Tume ndio Wana Hali mbaya zaidi Sema hawasemi, yaani mwaka huu ushindani hakuna wamepelekewa vilaza Hadi aibu ...yaani ni Bora wangechukua wasomi ndio wachukue fomu....ila kwa hiki kinachoendelea ...tume nahisi inapitia wakati ngumu sana...tume ya uchaguzi hata wafanyakazi ofisini sidhani kama Wana amani na vituko vya watia Nia Urais...hakuna mwenye afadhali na hata mvuto umekwisha kabisa yaani
 
Back
Top Bottom