mbona mnaweweseka sana. tulieni dawa iwaingie vizuri nyie misukule.Trust me. this is Alliance for Ccm and Traiters
mbona mnaweweseka sana. tulieni dawa iwaingie vizuri nyie misukule.Trust me. this is Alliance for Ccm and Traiters
hao ni al haramain foundation,OIC ndio wanahudumia shughuli zote,makao makuu ya chama ni kigoma ujiji,katiba rasmi imeandikwa kwa lugha ya kiha na baadae kutafsiriwa kwa kiswahili
tetetete.....YAANI WANAONGEA PUMBA TU, WALA SIMSHAURI MTU KUFUNGUA STAR TV MAANA UTABOREKA TU.
hao ni al haramain foundation,OIC ndio wanahudumia shughuli zote,makao makuu ya chama ni kigoma ujiji,katiba rasmi imeandikwa kwa lugha ya kiha na baadae kutafsiriwa kwa kiswahili
Duh! kama vile ndiyo kujieleza vizuri,mtu anashindwa kujua hata wa asisi wa chama chake,basi ukapimwe!!Hee!Mbona wamejieleza vizuri au wewe ni msukule umeumizwa na uwezo wao?
tetetete.....YAANI WANAONGEA PUMBA TU, WALA SIMSHAURI MTU KUFUNGUA STAR TV MAANA UTABOREKA TU.
Trust me. this is Alliance for Ccm and Traiters
We unaongea pumba hao ni wanasiasa waliokomaa we wa ajabu MTU akiwa Chadema unamwona mtakatifu akitoka ni kama muumini aliyetenda dhambi. badili fikra CDMA c mama yako
mbona mnaweweseka sana. tulieni dawa iwaingie vizuri nyie misukule.
mkuu umenena tehe tehe na bendera yao ina nembo ya nyota yenye mfano na al shabab
Kila MTU ana haki kujiunga na chama chochote cha siasa
ACT imewachanganya hadi MZEE Mtei amewasuta chama kimeisha Sacos inakosa wadau wamezoea Ruzuku ya mil. 233/ KWA mwezi
Hata mm nimewaona nadhani wale pia ni misukule kwanza bado hawajui hata kujieleza na kutete hoja.wamekurupuka kujiunga na lile shirika la dini flani toka kigoma,mwenzao(ZZK) katumiwa vibaya na yy analipiza kisasi kwa kuwatumia wenzake vibaya wao wajifanya wanamuamini sana,poleni sana wanashirika la kgm ACT.Hee!Mbona wamejieleza vizuri au wewe ni msukule umeumizwa na uwezo wao?