MWATAYAVYO NDOGOROGO
Member
- Mar 14, 2014
- 63
- 6
ninyi wanashirika la act ni wajinga sana!mme wenu kawaingiza choo cha kike,amepewa pesa kuvuruga chama imeshindikana then naninyi mnadandia gari kwa mbele poleni sana,ndo maana ujio wa chama chenu ni kuiponda chadema,eti muwe mbadala nyoo mbumbavu zenu,mtashinda lakini hamtashinda.wanaongea vizuri sana, utadhani ndio viongozi wa kitaifa, wewe unayesema wanaongea pumba ujui unachosema coz umeshazoea pumba za lema za kuandamana na za mboye nitafia angani, wakati dr. Silaa yeye anasema bomba la gesi limeanzia mtwara hadi ulaya, hivyo umeshaadhirika
mtu akiongea mambo ya msingi hauelewi