ACT Mkutano wa Makambako (PICHA)

ACT Mkutano wa Makambako (PICHA)

kambitza

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2013
Posts
2,045
Reaction score
1,325
attachment.php


Kazi ya kueneza Uzalendo inaendelea bila ya kuchoka. Kama kawaida nafurahishwa na namna ambavyo ACT Kimepata mapokezi yakutia moyo kwa wapenda siasa safi

ACT Imedhamiria kuwakomboa watanzania.

Inasemekana kuna chama kimoja cha upinzani kiliandaa kikundi cha watu kufanya vurugu, hila hizo zimeshindikana baada ya wapenda uzalendo kuweka ulinzi wa kutosha.

Inasikitisha kuona chama cha upinzani kinapanga kikundi cha kufanya vurugu katika mkutano wa chama kingine cha upinzani.
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1428766245.154272.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1428766245.154272.jpg
    74.6 KB · Views: 9,233
  • tmp_11586-IMG-20150411-WA0011308419204.jpg
    tmp_11586-IMG-20150411-WA0011308419204.jpg
    134.1 KB · Views: 1,903
  • tmp_11586-IMG-20150411-WA0009-1671999223.jpg
    tmp_11586-IMG-20150411-WA0009-1671999223.jpg
    126.7 KB · Views: 6,466
  • tmp_11586-IMG-20150411-WA001257015343.jpg
    tmp_11586-IMG-20150411-WA001257015343.jpg
    99.4 KB · Views: 1,808
Idadi ya wanamakambako sio hii kwa jinsi ninavyoifahamu.
 
Bado hamjazingatia ushauri wangu..?

Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo

Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?

Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.

BACK TANGANYIKA
 
Wadau mkutano Wa CHADEMA Mbeya vijijini ndio unaisha umeongozwa na mwenyekiti chadema mbeya
 

Attachments

  • 1428767205001.jpg
    1428767205001.jpg
    75.6 KB · Views: 759
  • 1428767248142.jpg
    1428767248142.jpg
    46.4 KB · Views: 672
  • 1428767292043.jpg
    1428767292043.jpg
    71.8 KB · Views: 650
Picha siyo tija; watu wanaweza kuja kukudis tu na si vinginevyo......
 
Hamuwezi linganisha Chadema na act hata kidogo. Maana mpaka hapa Chadema ilipofikia imetoka mbali sana.
 
kwa jinsi ninavyfahama mji wa makambako hiyo ni idadi ndogo sana ya watu, ni ndogo sana
 
Bado hamjazingatia ushauri wangu..?

Hivi hicho chama chenu mmewekeza kwenye picha tu? Kwanini mnashindwa kutoa mrejesho wa kile kilichozungimzwa na wahutubiaji pamoja na kutoa hizo picha,? Kwanini msiwape wanajf Mrejesho wa Wanachama wangapi waliojiunga kwenye mkutano wenu, Au wangapi waliorudisha kadi toka vyama vingine kutokana na kuvutiwa na sera zilizonadiwa kwenye mkutano huo

Unapimaje kwamba Chama kimepokelewa vizuri kwasababu ya umati wa wananchi waliojitokeza hapo? Unajuaje kwamba wote waliofika hapo ni Mashabiki wa ACT na wanaiunga mkono?

Ungekuwa makini ungeweka idadi ya wanachama wanaojiunga kwenye mikutano hiyo na hapo ndipo kilipo kipimo cha kupokelewa na vizuri na watanzania na si Umati wa watu kwenye Mikutano hiyo.

BACK TANGANYIKA

Wew acha uvivu nan akutafutie kama unahitaji nenda you tube
 

Kwani wewe hujui kwa ACT ni chama kilicho undwa rasmi kupambana na upinzani wa kweli? Kwani hujui kiwa kinaishi kwa hisani ya mafisadi wa ccm? Au na wewe unakokotwa tu kama tela hujui chochote?upo tu kama ng'ombe anaye enda machinjon? Kazi mnayo watanzania , hata wasomi mnarubunika kirahisi hivi sasa wasio soma sijui hali itakuwaje kwakweli.
 
Back
Top Bottom