Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Kwahiyo WAHA,mnasemaje?Wachaga tuacheni tufanye siasa .....sisi hatuulizi SAKOSI yenu
Kwahiyo WAHA,mnasemaje?Wachaga tuacheni tufanye siasa .....sisi hatuulizi SAKOSI yenu
Umeshiba ftari ya magimbi sasa unaharisha kama bata. Bavicha bwana, Mbowe anataka kuuza chama kwa fisadi.
Sawa mkuu, ila "Fomu" za Zitto zililetwa kwa mbwembwe kweli kweli hapa Jamvini, na tukaahidiwa kuwa ni zoezi endelevu kwa viongozi wote, sembuse kwa chama kama taasisi! Wangalikusudia hilo la kufuatilia taarifa ofisini kwako si wangalisema hivyo tangu mwanzo?
tutaona na kusikia mengi ila ukweli hautobadilika.
Niheri uwatetee hau kuliko kuonekana kisoke Wa MBOWEAcha upumbavu wewe mtetezi wa mafisadi usiyejitambua. Shule za kata zimekupumbaza akili yako.
Mtumwa wa supreme leader naona jana ulibugia kayoga nyingi ndio maana ulipinduka mapema
Miongoni mwa vyama vilivyokua kwa kasi hapa Tanzania....na kwa muda mfupi ni ACT-Wazalendo
Kuna tofauti kubwa kati ya kujenga hoja na kubweka.
wewe kama nani unauliza mapato na matumizi ya act?? wenye chama watapewa taarfa kwenye mkutano mkuu sasa wewe subir apa jf
Kwahiyo wewe una BWEKA!
Sijawahi kushuhudia tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uanze,kiongozi wa chama kuzomewa na kupigwa mawe kama ilivyotokea kwa kiongozi mkuu wa act,kule geita,bukoba na mbeya
Nilidhani nawe ni muwazi kama lilivyo jina lako. ACT Wazalendo manatakiwa kuuridhisha umma wa watz kuwa vyanzo vya mapato yenu ni halali na vinaendana na matumizi yenu. Hiyo itajenga misingi ya kuaminika miongoni mwa wananchi wazalendo. Kinyume chake uadilifu wa Chama na viongozi wenu utakuwa mashakani.
Umesahau tu....Kikwete alizomewa Mbeya na msafara kurushiwa mawe 2010.
Bush alirushiwa kiatu na mwanahabari
Tibaijuka juzi juzi alizomewa pia
Kama unaijua siasa hivyo vitu ni vya kawaida sana....huwezi pendwa na watu wote.
CC mcubic
Mkuu nimesema vyama vya upinzani
Ukitaka kufaham habari za ACT tembelea website yao.
Rudia kusoma tena kile ulichoandika.....acha kubweka
Mimi tena!? Teh teh teh nasikitika sana kuona CHADEMA hakuna vijana wenye akili timamu.