Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Uta tokwa Na mate mengi mwaka huu
Lazima mate yatoke kwa furaha ya kuwagaragaza ccm na mtoto wake act
Uta tokwa Na mate mengi mwaka huu
Mkuu moja ya masharti ya kiongozi mkuu,ni kutohojiwa wala kuulizwa,kiufupi haguswi
Labda nae alipokea shilingi billion10 kama anazotaka kupokea Mbowe ili akiuze chama kwa fisadi lowaasa!
Zuberi Yuda Zito Iskariot Kabwe
Wakuu chama cha ACT kilipomchagua ndugu Zitto kuwa Kiongozi Mkuu wa Chama, tuliletewa hapa Jamvini, Fomu zinazodaiwa kujazwa na kutiwa sahihi na yeye ku-declare mali zake! Tuliambiwa kuwa hiyo ndio sera ya chama na kwamba kila kiongozi atapaswa kufanya hivyo na mambo yatawekwa hadharani! Sina uhakika kama viongozi wengine waandamizi wa chama walishatekeleza hilo au bado wako kwenye mchakato wa kulifanyia kazi! Kwa sasa niombe kama tunaweza kupewa updates juu ya fedha & mali za chama, vyanzo vya chama vya mapato, pamoja na hesabu za mapato na matumizi ya chama kufikia Juni 30, 2015.
Dj anataka kumuuzia chama fisadi Lowasa kwa bil10 nani atamfunga paka kengere?
Wakuu chama cha ACT kilipomchagua ndugu Zitto kuwa Kiongozi Mkuu wa Chama, tuliletewa hapa Jamvini, Fomu zinazodaiwa kujazwa na kutiwa sahihi na yeye ku-declare mali zake! Tuliambiwa kuwa hiyo ndio sera ya chama na kwamba kila kiongozi atapaswa kufanya hivyo na mambo yatawekwa hadharani! Sina uhakika kama viongozi wengine waandamizi wa chama walishatekeleza hilo au bado wako kwenye mchakato wa kulifanyia kazi! Kwa sasa niombe kama tunaweza kupewa updates juu ya fedha & mali za chama, vyanzo vya chama vya mapato, pamoja na hesabu za mapato na matumizi ya chama kufikia Juni 30, 2015.
Tumia FLAGILE mkuu inazuia kuharishaHiki chama ni genge la wahuni, majizi, matapeli na walaghai. Nasubiri muda ufike nianze kuwaumbua vizuri. Ndio mtajua mimi ni nani. Niko jikoni kabisa kwa kazi maalumu
ACT tena tehtehteh bavicha tuleteeni mgombea wenu wa urais ACT achaneni nayo.
Tumia FLAGILE mkuu inazuia kuharisha
Sasa nani alimwambia alete mambo ya mali zake hapa?wewe kama nani unauliza mapato na matumizi ya act?? wenye chama watapewa taarfa kwenye mkutano mkuu sasa wewe subir apa jf
Mkuu kama ungeendea 0fisini kwao ingekuwa bora zaidi
Vipi nyinyi watumwa wa mwandiga saccoss mbona mmelala mbele?
Kalale we we fuata upepo