ACT - Chama cha Ukweli & Uwazi!

ACT - Chama cha Ukweli & Uwazi!

Dj anataka kumuuzia chama fisadi Lowasa kwa bil10 nani atamfunga paka kengere?
Mkuu moja ya masharti ya kiongozi mkuu,ni kutohojiwa wala kuulizwa,kiufupi haguswi
 
Labda nae alipokea shilingi billion10 kama anazotaka kupokea Mbowe ili akiuze chama kwa fisadi lowaasa!

Mtasema sana kwani tushayazoea hayo ni maneno ya wakosaji,cdm tuna miaka zaidi ya 20 ktk siasa za Tanzania hivyo tunajua nini kinendelea kati ya ccm na act
 
Wakuu chama cha ACT kilipomchagua ndugu Zitto kuwa Kiongozi Mkuu wa Chama, tuliletewa hapa Jamvini, Fomu zinazodaiwa kujazwa na kutiwa sahihi na yeye ku-declare mali zake! Tuliambiwa kuwa hiyo ndio sera ya chama na kwamba kila kiongozi atapaswa kufanya hivyo na mambo yatawekwa hadharani! Sina uhakika kama viongozi wengine waandamizi wa chama walishatekeleza hilo au bado wako kwenye mchakato wa kulifanyia kazi! Kwa sasa niombe kama tunaweza kupewa updates juu ya fedha & mali za chama, vyanzo vya chama vya mapato, pamoja na hesabu za mapato na matumizi ya chama kufikia Juni 30, 2015.

Mkuu kama ungeendea 0fisini kwao ingekuwa bora zaidi
 
Vipi nyinyi watumwa wa mwandiga saccoss mbona mmelala mbele?
 
Wakuu chama cha ACT kilipomchagua ndugu Zitto kuwa Kiongozi Mkuu wa Chama, tuliletewa hapa Jamvini, Fomu zinazodaiwa kujazwa na kutiwa sahihi na yeye ku-declare mali zake! Tuliambiwa kuwa hiyo ndio sera ya chama na kwamba kila kiongozi atapaswa kufanya hivyo na mambo yatawekwa hadharani! Sina uhakika kama viongozi wengine waandamizi wa chama walishatekeleza hilo au bado wako kwenye mchakato wa kulifanyia kazi! Kwa sasa niombe kama tunaweza kupewa updates juu ya fedha & mali za chama, vyanzo vya chama vya mapato, pamoja na hesabu za mapato na matumizi ya chama kufikia Juni 30, 2015.


Hiki chama ni genge la wahuni, majizi, matapeli na walaghai. Nasubiri muda ufike nianze kuwaumbua vizuri. Ndio mtajua mimi ni nani. Niko jikoni kabisa kwa kazi maalumu
 
Tumia FLAGILE mkuu inazuia kuharisha

Dozi inakuja, nadhani nyinyi matapeli na walaghai wote tutawaumbua. Sisi katika duru; unafiki kwetu mwiko. Tutasema kweli daima kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa letu. Hatukubali, hatukubali, hatukubali; wahuni & wasaliti, wawarubuni wananchi kwa masilahi binafsi ya kisiasa
 
Mkuu kama ungeendea 0fisini kwao ingekuwa bora zaidi

Sawa mkuu, ila "Fomu" za Zitto zililetwa kwa mbwembwe kweli kweli hapa Jamvini, na tukaahidiwa kuwa ni zoezi endelevu kwa viongozi wote, sembuse kwa chama kama taasisi! Wangalikusudia hilo la kufuatilia taarifa ofisini kwako si wangalisema hivyo tangu mwanzo?
 
Back
Top Bottom