ACT - Chama cha Ukweli & Uwazi!

ACT - Chama cha Ukweli & Uwazi!

Kwanza kama mnaakili mgehoji chamalenu mchakato Wa mgombea VP, kwa mlivyo mazuzu mnaburuzwa kama mkokoteni
 
Kwanza kama mnaakili mgehoji chamalenu mchakato Wa mgombea VP, kwa mlivyo mazuzu mnaburuzwa kama mkokoteni

Nyie ndiyo makapuku mnaomtumikia zzk yuda Eskarioti chumia tumbo
 
Hawa ndio viongozi wa ukweli,hadi mfadhili wenu ccm anaendelea kuwapa fedha ili mpambane na hayo madume,wacha mchezo wewe.

Unajua walivyo pishana kauli, sipicha pekee hapo nimelenga jambo
 
Labda nae alipokea shilingi billion10 kama anazotaka kupokea Mbowe ili akiuze chama kwa fisadi lowaasa!
atutajie anayegharamia mizunguko yake inayofanana na mbio za mwenge nchi nzima , haiwezekani kuzunguka nchi nzima kwa biashara ya migebuka tu .
 
Back
Top Bottom