ACP Hemed Msangi...


Nilipoisoma post yako nikawaza kukutukana, nikaona nitajidhalilisha bure....!
Uwezo wa akili yako, kwa tafsiri ya ulichopost ni tusi tosha kwa yeyote awaye! R.I.P manushichini
Umeingiza mambo ya CDM hapo?! umeingiza mambo ya walimu?! umeongea freemasons?! umeongelea wachina?!
Hivi unadhani ni akili ya kawaida hiyo?!

 
Mkuu G. Activist Uko sahihi kabisa niliposikia jina la ACP Msangi na kauli ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Liwalo na liwe nikajua yale yale ya Marehemu Dr Ouko na Mzee Moi.

yeah huyu bwana msangi ni mtu hatari sana
i know this creature!!but wait and see soon he will be revealed
 
Wakuu kuna ACP Salum Msangi (RPC) Mkoa mpy Ssimiyu na ACP Hemedi Msangi wa kitengo cha Upelelezi makao makuu ya Polisi hivyo msiwachanganye
Nadhani wewe uko sahihi kabisa. Hemedi Msangi ndo aliwahi kupita kituo cha polisi usa River, then Morogoro.
 
kwenye picha hii hapa piga ua ni dhuluma tupu , afande Christopher wa Centre awezi kukosa maana ndiye mwenye kitengo cha gsm track ya kujua huko wapi.
 
our eyes is on Mwanaharakatihuru awaiting for updates
 
Wangapi tunamtambua huyu kijana mwenye shati ya pumndamlia huyu aliyesima kwenye picha ya hapo juu??????????????



 
ACP Msangi Kama hili linakuhusu na mavumbi utarudi kama siyo leo hata kesho lakini utaishi milele!
 
Huyo ACP Msangi ni jamaa hatari sana. Anafahamika kwa mambo ya kishenzi shenzi. Katika gheto yake moja wakati fulani alikuwa kaweka TV mbili na zote anaziwasha kwa mpigo, then bangi nyingi na mademu wale wenye sura zilizochubuliwa kaa Tko la nyani. Na tungoje tuone Pinda atapindishaje na hili.
 
Wangapi tunamtambua huyu kijana mwenye shati ya pumndamlia huyu aliyesima kwenye picha ya hapo juu??????????????




HAKIKA HUYU NDIE ACP Msangi, Mpare, baba yake alikuwa RPC miaka ya nyuma. Amefanya kazi Arusha, USA River, Morogoro na Sasa DSM. Ni mshenzi na ni mnyama kweli kweli. Uliza sehemu alizopita ni wanaume wangapi walibaki hanith baada ya yeye kuwaharibu nyeti zao kwa mateso.
 
Mkuu kanga

Asante kwa ufafanuzi mzuri sana nadhani MODS wanaweza kusaidia kubadili heading isomeke ACP HEMED MSANGI badala ya ACP SALIM MSANGI.Baba yao alifariki kati ya mwaka 2004 - 2006 nilihudhuria mazishi yake ofisi niliyokuwa nafanyia kazi ilinituma kama mwakilishi.ACP Hemed Msangi ana mazuri yake pia nakumbuka siku ya msiba nilikaa sehemu mmoja na mwakilishi wa AUWASA Mamlaka ya maji safi na maji taka Arusha aliniambia walikuja kwenye msiba kwasababu ACP Hemed Msangi aliwasaidia kuwadhibiti waMeru waliokuwa na mpango wa kuzuia maji ya mto nduruma yasipelekwe Jijini Arusha.ACP H Msangi aliwashughulikia waMeru mpaka mradi ukakamilika kwa wakati.Hii story ukiwauliza wafanyakazi wa wote AUWASA wanamjua ACP H Msangi.


 
Mwenye shati la mistari pundamilia ndiye mwenyewe haswaaa shetwani mkubwa kaharibu wanaume kibao yamkini mwisho wake umefika.

 
Nae akiaga utasikia mashehe na mapadri,kalazwe pema peponi amina
 
Muda mchache uliopita nimepokea ujumbe huu katika simu,

"Kamanda Msangi aliyemkamata na kumtesa Dr Ulimboka yupo katika jopo la kuchunguza nini kilimtokea Dr Ulimboka. Alipofika kumuhoji Dr Ulimboka alimwambia 'Nirudishie simu na waleti yangu'. Kamanda Msangi taratibu akatoka wodini kichwa chini. Kama wewe ni mpenda haki na unapinga ujinga na dhuluma watumie ujumbe huu watu wengi kadri uwezavyo ili wamjue dhalimu aliyeoongoza unyama huu:"

wakuu napenda kujua undani wa huyu kamanda!
Je kuna ukweli wowote wa haya yasemwayo?
 
Kwa hili kapoteza sifa ya kuitwa kamanda,..ni muuaji msangi
 
Tunaomba wenye picha yake watuwekee hapa ili tuweze kumfaham vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…