OPTIMUS TZ
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 391
- 65
ACP Msangi akiwa mkuu wa USA alisimamia zoezi la kuondoa uhai watuhumiwa wanne wa ujambazi waliokamatwa na polisi wakiwa hai ikamlazimisha RPC Ntobi kuhamishiwa mkoa wa Mara.
Sawa tu acha apumzike apo aone na wengine wanajiskiaje.Alah? wao tu walipwe ela nyingi.kwani tunaolipwa laki 5 hatufanyi kazi?Chadema itetee haki kwa wote.kuna waalimu 210,000.
Wafanyakazi wa serekali kibao, madokta, madkta. Kazi ni kazi.atuwezi fanya kazi moja wote ila lengo mwishoni wote tupate ela.wanatuulia ndugu zetu wanataka utajiri wa fasta.
Waende ata freemason basi.wachukue time........Tuache kuwa na akili mgando.Serekali ibanwe itumie ela vizuri,ila na sisi kila mmoja afanye kazi ila taifa liendelee.No lelemama.hela ya bure imetoka wapi? Mnaona wachina?
Piga kazi sana ila kidogo.baadae maendeleao.Watanzania tunajua sana kuongea na kuchangia.aliye na point nzuri kazini hewa. Low production.na serekali dhaifu atutaki. Tunataka madikteta, sha choka na lawama za kijinga!
Mkuu G. Activist Uko sahihi kabisa niliposikia jina la ACP Msangi na kauli ya Mheshimiwa Waziri Mkuu Liwalo na liwe nikajua yale yale ya Marehemu Dr Ouko na Mzee Moi.
Nadhani wewe uko sahihi kabisa. Hemedi Msangi ndo aliwahi kupita kituo cha polisi usa River, then Morogoro.Wakuu kuna ACP Salum Msangi (RPC) Mkoa mpy Ssimiyu na ACP Hemedi Msangi wa kitengo cha Upelelezi makao makuu ya Polisi hivyo msiwachanganye
Mwanaharakati huru, hivi huyo jamaa anaitwa Salim Msangi au ni Ahmed Msangi anayeonekana hapo chini?
Wangapi tunamtambua huyu kijana mwenye shati ya pumndamlia huyu aliyesima kwenye picha ya hapo juu??????????????
HEMEDI Msangi na Salum Msangi wote ni ndg watoto wa Rpc Msangi mstaafu nafikri ni marehemu kama sikosei ndiye mhusika nimefanya kazi naye wakati huo nimeajiriwa jeshi la polisi kabla ya kuacha.Salum Msangi yeye alifanya kazi muda mrefu pale CCP Moshi.
Hemedi Msangi amekuwa ndiye Zonal RCO- Dar es salaam na kabla ya hapo amefanya kazi Morogoro na Arusha kituo cha USA-Arumeru kitengo cha upelelezi.
Kumbukeni wakti Mererani ndiyo ilikuwa inatema fedha na uhalifu ulikuwa mkubwa na alishiriki kwa hali zote kuua wahalifu sugu au kusingiziwa kesi .polisi kutoa kidhibiti hewa kama bunduki,risasi,na vyote vya hatari ni kitu cha kawaida ili kukamata attention ya wananchi.
Si mnakumbuka IGP MAHITA ALIWAHI KUONYESHA MAJAMBIA NA VISU KUWA NI MALI ZA CHAMA CHA CUF KWA AJILI YA UCHAGUZI 2005.?.POLISI NI HATARI NA KAMA KUTAKUWA NA MAHAKAMA ZA UCHUNGUZI ZA VIFO VYA RAIA MAPOLISI WENGI WATAFUNGWA NA WENGI KUACHA KAZI.
Msangi+Sabasita=mauaji/mauti
+