Mh! Jews??? Mbona hawa watu ni target dunian kote?
Nimeona ktk vyombo vya habari vya Israel kua wayahudi ni target dunian kote wakatoa mf UK mmoja kafanyiziwa, Russia Rabbi mmoja kafanyiziwa, Ufaranza nako wanafanyiziwa na sehemu kibao za Amerika ya kaskazini! sasa nimeshangaa kuona Israel wamezuia raia wao kuja Tanzania na wakasema kua ni predominantly muslim country na zanzibar wakasema 99% ni muslim sasa nikajiuliza izi takwimu za Tanzania kua ni nchi yenye Waislam wengi wameitioa wapi?
Mkuu umechekesha Wasema Israel haiwajui hao Wasichana..... Pole Sana nadhani huwaelewi Jews.... Wanajua na wanajulikana hadi idadi yai Duniani kote...
You should stop THAT; Kuwa MEMBERS wa ZIONIST YOUTH sio kuwa wao wanafuata MISINGI ya KIYAHUDI... Wayahudi Wako kona zote DUNIANI kama vile Wahindi Walivyo kona zote DUNIANI au Wazanzibari walivyo wengi UINGEREZA sasa kuna wazanzibari walio UINGEREZA ambao ni Wanachama wa CUF haina Maana wanapenda ya UAMSHO au yote yanayosemwa na JUSSA...
Hata kidogo; Na ISRAEL hata hawawajui hao Wasichana; Kwahiyo Msianze tabia ya kutishiana ndio hiyo tuliyonayo hatutaki kujadili yaliyotokea ni kwanini na sababu gani na kwanini tusizuie
Wewe unaandika kuwatishia Wananchi...
Tukio lile litaigharimu zanzibar kwa kiwango hata wasichokielewa ni nani leo atakayekubali ku volunteer kwenda zanzibar kufundisha hata kutibu maana zanzibar itawekwa ktk mtandao wa volunteer kuwa ni dangerous place to volunteer kwa sababu ya mashambulizi mabaya dhidi wa wageni na hasa baada ya serikali zote mbili kushindwa kabisa kuvidhibiti vitendo hivyo na usalama ndio kitu cha muhimu kuliko vyote kabla mtu ajakubali kwenda kujitolea nchi yeyote ile.
Mkuu rudia kuisoma habari vizuri.Kama rejea yako ni hiyo mada iliyoletwa, hakuna mahali walipoitaja Tanzania, isipokuwa Zanzibar. Na walichoeleza ni ukweli.Zanzibar 99% ni Waislamu.Halipingiki hilo.Period.
Ni Kweli Tanzania inajulikana kuwa ni Nchi ya Kiislam Hata mimi nimesoma kwenye News
Wadau,
Gazeti na mtandano unaoheshimika UK na US (Dailymail) wametoa hii habari kinagaubaga.
Hili swala la hawa mabinti linazidi kututia doa kimataifa....ukisoma comments za wachangiaji kwa huu mtandao utagundua ni jinsi gani tunazidi kupoteza ile picha ya kisiwa cha amani.
Jisomee mwenyewe: Burned beyond imagination: Acid burn girls rushed to a London hospital as island police hunt Islamic radicals and witness describes hearing 'hair-raising' screams of pain | Mail Online
Hoko Palestina myahudi mmoja akidhuriwa huwa mamia ya wapalestina wanaumizwa kwa kisasi. Why can't Israel do the same to Zanzibar!
Wadau,
Gazeti na mtandano unaoheshimika UK na US (Dailymail) wametoa hii habari kinagaubaga.
Hili swala la hawa mabinti linazidi kututia doa kimataifa....ukisoma comments za wachangiaji kwa huu mtandao utagundua ni jinsi gani tunazidi kupoteza ile picha ya kisiwa cha amani.
Jisomee mwenyewe: Burned beyond imagination: Acid burn girls rushed to a London hospital as island police hunt Islamic radicals and witness describes hearing 'hair-raising' screams of pain | Mail Online
Hoko Palestina myahudi mmoja akidhuriwa huwa mamia ya wapalestina wanaumizwa kwa kisasi. Why can't Israel do the same to Zanzibar!
Mdau, tangu lini dailymail likawa ni gazeti linaloheshimika?
Kwanza dailymail ni gazeti la mrengo wa kulia kabisa. (far right wing newspaper) kama ilivyo foxnews tv channel.
Tanzania ina waislam Wengi kwa maana hiyo ni huwezi itofautisha na nchi za kiislam hata ukitizama uongozi wa Top 3 ni Muslim.. Inamaana katika zaidi wa Watu Watano watatu ni waislam so ukienda tofauti na maadili yao itajulikana na wengi fasta sana...Tanzania nchi ya Kiislamu kwa maana ya Zanzibar au?
Mlaleo...mkuu kwa hayo maelezo na takwimu ulizotoa hii ligi siiwezi-kwamba walipo watano basi watatu ni Waislamu (60%)? halafu kwa tafsiri hiyo basi hao wawili (40%) waliobaki moja anaweza kuwa Mbudha na mwingine pengine dini za asili za kiafrika!Tutaishia kubishana tu.Acha nibaki kuwa Mtanzania ambaye ninajua ninachokiamini.Tanzania ina waislam Wengi kwa maana hiyo ni huwezi itofautisha na nchi za kiislam hata ukitizama uongozi wa Top 3 ni Muslim.. Inamaana katika zaidi wa Watu Watano watatu ni waislam so ukienda tofauti na maadili yao itajulikana na wengi fasta sana...
Tanzania is predominantly Muslim= Tanzania nchi yenye waislam Wengi.
Jewish Teens Return Home After Zanzibar Attack - Jewish World - News - Israel National News