mh!kumbe wayahudi?hapo si bure.ila hawa si watu wa kushambuliwa,tunatafuta matatizo!ndio maana tukio limerushwa dunia nzima.na hapa napo tutasema ni madawa ya kulevya?tukubali tuna tatizo la ugaidi nchini.kwa nini serikali imekalia kesi hizi?siku rocket ya katyusha toka tel aviv ikitua magogoni ndio mtaelewa umuhimu wa kulinda raia.mpaka aumizwe nani ndio tutastuka?
Kumbe wayahudi! Ijumaa ya tar 2 Agosti baada swala ya ijumaa kulisambazwa vipeperushi vya kulaani wayahudi na Israel kwa ujumla nchi nzima. Vijana kadhaa hapa kwetu walionekana wamevalia T-shirt zilizoandikwa laana hizo kwa wayahudi. Nafikiri hayo ndo matokeo yake sasa.