fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,425
- 7,975
acheni kutoa siri zenu za unyumba,mnaharibu ndoa zenu,hasa wanawake mlioolewa,inakuwaje unamwambia shoga yako hadi urefu wa uume wa mmeo?staili za mumeo zote unatoa,udhaifu wa mmeo zote unazitoa.hivi sasa na ndia mbili nazisuluhisha kwa shida hizi