Acheni kulialia na mapenzi

Acheni kulialia na mapenzi

Nasikitishwa na tabia ya vijana wengi ambao nawaona wakiwa na miili iliyodhohofika ukimuuliza eti kwa kuwa ametoswa na msichana aliempenda oh! Kamfumania mpenzi wake akiduu na mvulana mwingine, mapenzi yapo waliyakuta babu zetu na sisi tumeyakuta na tutayaacha.
$_35.JPG

Mbaya zaidi vijana wengi ndio waathirika wa kubwa wa tatizo hili la kulilia mapenzi,wanaacha kazi zao za maana,wanagombana na ndugu zao wanatengana na marafiki zao kisa mapenzi,msingi mkubwa wa kuyafurahia maisha ya mapenzi ni kufanya kazi kwa juhudi kujimudu kimaisha na kutokuyapa kipaumbele sana mapenzi,mimi naamini ukiwa na fedha utapata msichana yeyote unaye mpenda.
Nyuso-zinaonesha-furaha-ilivyotawala-sherehe-hiyo.jpg

Ukiwa na pesa ata ukiamua kumiliki wasichana mamia kwa mamia na wote ukawaweka sehemu moja hakuna anayeweza kukupinga ukiyaendekeza sana mapenzi utajikuta unapoteza muelekeo wa maisha utaishi maisha mabovu mithiri ya teja alieathiriwa na madawa ya kulevya mbaya zaidi ata wazee wetu pia walilizwa sana na mapenzi lakini walisahau wakafanya mambo mengine wakaweza kutufikisha hapa tulipo.
daimond-na-jamaa-aliyetaka-kupiga-nae-piga1.jpg

Kitu cha msingi ili kuondoa uchungu ingia bafuni vua nguo zote lia hadi machozi yakauke najua utakua na uchungu sana sasa hakikisha unamaliza uchungu wote ulio nao kisha chukua maji oga jipe moyo anza maisha mapya,maisha ya kufanya kazi kwa bidii,maisha ya kuwa karibu na ndugu na marafiki maisha ya kuwasaidi wazazi maisha ya kuacha starehe zote.
5.jpg

Naamini matunda ya kufanya kazi kwa juhudi yatakupa familia bora na mke unae muhitaji utapata msichana mzuri ambae atakupenda, atakupenda sana utaiona dunia yote ni yako na hakuna anaeifurahia kama wewe.Sasa vijana tuamke tujifunze kupitia wenzetu wenye mafanikio ukifanikiwa kusahau maumivu ya mapenzi naamini mafanikio au ndoto zote ulizo nazo zitakuwa mbioni kutimia.
Girl.jpg

Anza kusoma vitabu tafuta marafiki wapya anza kufanya ibada mkumbuke Muumba wako na amini kuwa Mungu yupo na bila yeye usingefika hapo ulipo, omba msamaha kila ulie mkosea, fanya sana mazoezi,jifunze kutembelea sehemu ambazo hujawahi kutembelea kisha jipe muda mwingi wa kupumzika,achana kabisa na vilevi ukishindwa punguza,kisha iambie nafsi yako "sasa naamua kuwa mpya nayafuta yote yaliyopita nahitaji furaha, amani na mafanikio"
50bdc-img_7186.jpg

MUNGU AENDE AKAKUBARIKI WEWE UNAETESEKA NA KULILIA MAPENZI AMINI KILIO CHAKO KITAFIKA MWISHO utampata atakaejua na kuzithamini hisia zako utapata faraja ya moyo wako ila yote hayo yatatimia endapo utaanza upya sahau kila kilichopita, samehe kila aliekukosea na amini alikukosea ili akufikishe sehemu iliyo bora, akufikishe sehemu nzuri kimaisha na hakukukosea ili akudidimize.

...itaendelea...
Mkuu ulichoandika kineniinua sana.
Ninacho amini sasa ni maskini huwa tunatumia nguvu sana kutaka tuheshimiwe na wapenzi wetu na bado hatuheshimiwi,tajiri hatumii nguvu kabisa pesa zake ndo nguvu yake na pesa kwa wanawake WENGI ndo kitu wanapenda na kuheshimu,tafuta hela usitafute mapenzi,hela ikiwepo mapenzi hujilengesha,
 
Sawa mkuu tumekusikia. Ila mambo sio marahisi kihivyo kila wakati kama ulivyoandika.

Kwenye mapenzi kuna mengi zaidi ya unavyofikiria. Mapenzi ni eneo pana sana na haijawahi kutokea mtu aliyeli-master. Kama una uwezo wa kuhimili vishindo vya mapenzi kirahisi, mshukuru Mungu.

Ni muhimu ujue kuwa uzoefu na mazingira yanatofautiana sana kati ya mtu na mtu. Hata wewe unaweza uje ujishangae pale utakapojikuta umenasa mazima. Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu mkuu. No body is immune unless kama ni mapenzi ya kudanganyana danganyana.

Sisi wote at some point tulikuwa na mawazo kama ya kwako. Wrong generalisation !!
Ukiyarahisisha yatarahisika,ukiyatatanisha yatakuwa magumu,tujizoeze kukubali na kuanza upya,tuombe MUNGU atupe moyo wa kukubali yasiyoweza badirika
 
Wanaume atulii bwana... Labda wavulana...
Kuna kulilia mapenzi na kulilia ndoa,mwanaume wa ndoa akilia halii sababu ya mwanamke,analia sababu ya watoto na maisha aloyaseti yanavovurugika,na analia kwa vision maana hatma ya watoto inaingia ktk hati hati ya kuteseka,wanawake wa sasa hawalii maana huwa hawajali hatima ya maisha ya watoto,wao hujali hatma ya mawigi na vipedo na lip stick,hawajali kabisa masha ya watoto na hatma yao, wao hujijali wao,hivo wanawake wa sasa hawalii na vurugu za ndoa si sababu ni majasiri la hasha,ni sababu hawaoni chochote mbele
 
yap...sasa huo ni mtihani then msichana anakuacha lijana ume lina lia mwenzake anaenda kuolewa asa sijui mwanaume atafanywaje na huku kakazana kujililia
Ukitaka kuona machozi ya mwanamke ktk mapenzi na ndoa uhakika wa simu Kali,lip stich na vivazi ukatike hapo atalia,lkn ndoa ama mapenzi yafe wakati uhakika wa lipstick upo hali ng'oo,
Wanaume tubadirike hawa wadudu hawapendi mtu wanapenda kitu,
Ni wachache sana wanaopenda mtu tena ni wale wenye kujitosheleza wenyewe
 
Mkuu ulichoandika kineniinua sana.
Ninacho amini sasa ni maskini huwa tunatumia nguvu sana kutaka tuheshimiwe na wapenzi wetu na bado hatuheshimiwi,tajiri hatumii nguvu kabisa pesa zake ndo nguvu yake na pesa kwa wanawake WENGI ndo kitu wanapenda na kuheshimu,tafuta hela usitafute mapenzi,hela ikiwepo mapenzi hujilengesha,
asante kwa kunielewa tukijikita kwenye utafutaji mapenzi hujileta...wewe ebu fikilia linapotokea tatizo la kifamilia watu watamsubiri bwana mdogo ata kama yupo nchi za nje yeye ndo aje amalize kwa kuwa tuu anauwe kifedha...fedha ndo kila kitu
 
Ukitaka kuona machozi ya mwanamke ktk mapenzi na ndoa uhakika wa simu Kali,lip stich na vivazi ukatike hapo atalia,lkn ndoa ama mapenzi yafe wakati uhakika wa lipstick upo hali ng'oo,
Wanaume tubadirike hawa wadudu hawapendi mtu wanapenda kitu,
Ni wachache sana wanaopenda mtu tena ni wale wenye kujitosheleza wenyewe
umeona mzee mwenzangu...kuna mzee mmoja aliwahi kunihadithia kua enzi za ujana kipindi yupo chuo kuna msichana alikuwa classmate mwenzake huyo msichana alisaidiwa kila kitu na huyo mzee siku anataka kuolewa huyo msichana alijipeleka yeye mwenye akagegedwe na huyo mzee...ebu image kama huyo mzee asinge msaidia angemgegeda huyo demu...kwahiyo pesa ndo kila kitu emage mond kawagegeda mademu wengi {vijei pen, wema, kidoti, jackline, irene nk} lakini hiyo ilitokea baada ya kupata pesa mbona hakufanya hayo yote kipindi yupo tandare?????
 
Kuna kulilia mapenzi na kulilia ndoa,mwanaume wa ndoa akilia halii sababu ya mwanamke,analia sababu ya watoto na maisha aloyaseti yanavovurugika,na analia kwa vision maana hatma ya watoto inaingia ktk hati hati ya kuteseka,wanawake wa sasa hawalii maana huwa hawajali hatima ya maisha ya watoto,wao hujali hatma ya mawigi na vipedo na lip stick,hawajali kabisa masha ya watoto na hatma yao, wao hujijali wao,hivo wanawake wa sasa hawalii na vurugu za ndoa si sababu ni majasiri la hasha,ni sababu hawaoni chochote mbele
kumbe
 
Hapo kwenye kolewa/kuoa kwa sababu unapesa,bado si kitu kama utamkosa umpendae.
Utakua unatimiza majukumu tu,kwamba sina namna,inabidi nioe.

Bado moyo kuna kitu utakosa.. Watu wanaishi kwenye ndoa miaka,wana Mali,watoto lakini bado hawazoeani.

Bado moyo kuna kitu cha muhimu utakosa.

Nimejifunza kuwa mapenzi sio pesa,mtu anaweza achana na mke/mume na kila kitu anapata kwenye ndoa,wala hanyanyaswi!

Akaenda kwa mtu dhalili na akaishi kwa furaha ijazayo moyo na kuleta amani.

UPENDO HAUNA RANGI
Ndio maana unakuta mtu ana mme/mke mzuri ana kila sifa,watu wapembeni hawaishi kumsifia lakini unakuta anachepuka anakuja zaa na mwanamke/Mme ambae machoni watu wanaona sio saizi yake.
Ila wao mioyoni wameshibana!
Wachache wanaobahatika kuishi na wawapendao kweli.
Wengi wanaishi kitumwa kwenye ndoa!

NA UTAACHAJE KULIA WAKATI ANAYEKULIZA NDIO WAKUKUNYAMAZISHA!

Watu tunaishi tunalia.Dunia ni mbaya totally,haisapoti happiness! Kwa waliowengi.


Labda kumuachiana kumtegemea Mungu tu.ila pesa,elimu!??
Mmmgh sitaki!
 
umeona mzee mwenzangu...kuna mzee mmoja aliwahi kunihadithia kua enzi za ujana kipindi yupo chuo kuna msichana alikuwa classmate mwenzake huyo msichana alisaidiwa kila kitu na huyo mzee siku anataka kuolewa huyo msichana alijipeleka yeye mwenye akagegedwe na huyo mzee...ebu image kama huyo mzee asinge msaidia angemgegeda huyo demu...kwahiyo pesa ndo kila kitu emage mond kawagegeda mademu wengi {vijei pen, wema, kidoti, jackline, irene nk} lakini hiyo ilitokea baada ya kupata pesa mbona hakufanya hayo yote kipindi yupo tandare?????
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom