X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,766
- Thread starter
- #21
nawewe uliliaga nini....Ooh yes
nawewe uliliaga nini....Ooh yes
Mkuu ulichoandika kineniinua sana.Nasikitishwa na tabia ya vijana wengi ambao nawaona wakiwa na miili iliyodhohofika ukimuuliza eti kwa kuwa ametoswa na msichana aliempenda oh! Kamfumania mpenzi wake akiduu na mvulana mwingine, mapenzi yapo waliyakuta babu zetu na sisi tumeyakuta na tutayaacha.
![]()
Mbaya zaidi vijana wengi ndio waathirika wa kubwa wa tatizo hili la kulilia mapenzi,wanaacha kazi zao za maana,wanagombana na ndugu zao wanatengana na marafiki zao kisa mapenzi,msingi mkubwa wa kuyafurahia maisha ya mapenzi ni kufanya kazi kwa juhudi kujimudu kimaisha na kutokuyapa kipaumbele sana mapenzi,mimi naamini ukiwa na fedha utapata msichana yeyote unaye mpenda.
![]()
Ukiwa na pesa ata ukiamua kumiliki wasichana mamia kwa mamia na wote ukawaweka sehemu moja hakuna anayeweza kukupinga ukiyaendekeza sana mapenzi utajikuta unapoteza muelekeo wa maisha utaishi maisha mabovu mithiri ya teja alieathiriwa na madawa ya kulevya mbaya zaidi ata wazee wetu pia walilizwa sana na mapenzi lakini walisahau wakafanya mambo mengine wakaweza kutufikisha hapa tulipo.
![]()
Kitu cha msingi ili kuondoa uchungu ingia bafuni vua nguo zote lia hadi machozi yakauke najua utakua na uchungu sana sasa hakikisha unamaliza uchungu wote ulio nao kisha chukua maji oga jipe moyo anza maisha mapya,maisha ya kufanya kazi kwa bidii,maisha ya kuwa karibu na ndugu na marafiki maisha ya kuwasaidi wazazi maisha ya kuacha starehe zote.
![]()
Naamini matunda ya kufanya kazi kwa juhudi yatakupa familia bora na mke unae muhitaji utapata msichana mzuri ambae atakupenda, atakupenda sana utaiona dunia yote ni yako na hakuna anaeifurahia kama wewe.Sasa vijana tuamke tujifunze kupitia wenzetu wenye mafanikio ukifanikiwa kusahau maumivu ya mapenzi naamini mafanikio au ndoto zote ulizo nazo zitakuwa mbioni kutimia.
![]()
Anza kusoma vitabu tafuta marafiki wapya anza kufanya ibada mkumbuke Muumba wako na amini kuwa Mungu yupo na bila yeye usingefika hapo ulipo, omba msamaha kila ulie mkosea, fanya sana mazoezi,jifunze kutembelea sehemu ambazo hujawahi kutembelea kisha jipe muda mwingi wa kupumzika,achana kabisa na vilevi ukishindwa punguza,kisha iambie nafsi yako "sasa naamua kuwa mpya nayafuta yote yaliyopita nahitaji furaha, amani na mafanikio"
![]()
MUNGU AENDE AKAKUBARIKI WEWE UNAETESEKA NA KULILIA MAPENZI AMINI KILIO CHAKO KITAFIKA MWISHO utampata atakaejua na kuzithamini hisia zako utapata faraja ya moyo wako ila yote hayo yatatimia endapo utaanza upya sahau kila kilichopita, samehe kila aliekukosea na amini alikukosea ili akufikishe sehemu iliyo bora, akufikishe sehemu nzuri kimaisha na hakukukosea ili akudidimize.
...itaendelea...
Ukiyarahisisha yatarahisika,ukiyatatanisha yatakuwa magumu,tujizoeze kukubali na kuanza upya,tuombe MUNGU atupe moyo wa kukubali yasiyoweza badirikaSawa mkuu tumekusikia. Ila mambo sio marahisi kihivyo kila wakati kama ulivyoandika.
Kwenye mapenzi kuna mengi zaidi ya unavyofikiria. Mapenzi ni eneo pana sana na haijawahi kutokea mtu aliyeli-master. Kama una uwezo wa kuhimili vishindo vya mapenzi kirahisi, mshukuru Mungu.
Ni muhimu ujue kuwa uzoefu na mazingira yanatofautiana sana kati ya mtu na mtu. Hata wewe unaweza uje ujishangae pale utakapojikuta umenasa mazima. Ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu mkuu. No body is immune unless kama ni mapenzi ya kudanganyana danganyana.
Sisi wote at some point tulikuwa na mawazo kama ya kwako. Wrong generalisation !!
Kuna kulilia mapenzi na kulilia ndoa,mwanaume wa ndoa akilia halii sababu ya mwanamke,analia sababu ya watoto na maisha aloyaseti yanavovurugika,na analia kwa vision maana hatma ya watoto inaingia ktk hati hati ya kuteseka,wanawake wa sasa hawalii maana huwa hawajali hatima ya maisha ya watoto,wao hujali hatma ya mawigi na vipedo na lip stick,hawajali kabisa masha ya watoto na hatma yao, wao hujijali wao,hivo wanawake wa sasa hawalii na vurugu za ndoa si sababu ni majasiri la hasha,ni sababu hawaoni chochote mbeleWanaume atulii bwana... Labda wavulana...
Ukitaka kuona machozi ya mwanamke ktk mapenzi na ndoa uhakika wa simu Kali,lip stich na vivazi ukatike hapo atalia,lkn ndoa ama mapenzi yafe wakati uhakika wa lipstick upo hali ng'oo,yap...sasa huo ni mtihani then msichana anakuacha lijana ume lina lia mwenzake anaenda kuolewa asa sijui mwanaume atafanywaje na huku kakazana kujililia
Watu wanalia sana sema nyumba zinaficha mengisidhani ila baadhi wanachanganyikiwaga sana kiasi cha kupoteza uelekeo
Yakiwepo maslahi wanalia sana hadi mishuzi,Wanawake wamekua wagumu, wanaume wamekua laini ka biscuits
asante kwa kunielewa tukijikita kwenye utafutaji mapenzi hujileta...wewe ebu fikilia linapotokea tatizo la kifamilia watu watamsubiri bwana mdogo ata kama yupo nchi za nje yeye ndo aje amalize kwa kuwa tuu anauwe kifedha...fedha ndo kila kituMkuu ulichoandika kineniinua sana.
Ninacho amini sasa ni maskini huwa tunatumia nguvu sana kutaka tuheshimiwe na wapenzi wetu na bado hatuheshimiwi,tajiri hatumii nguvu kabisa pesa zake ndo nguvu yake na pesa kwa wanawake WENGI ndo kitu wanapenda na kuheshimu,tafuta hela usitafute mapenzi,hela ikiwepo mapenzi hujilengesha,
haaahaa umenichekesha sana mzee mwenzanguYakiwepo maslahi wanalia sana hadi mishuzi,
Lkn pakiwa hapana maslahi wanajifanya wagumu
kumbe kabla ya kuoana kuna maandalizi...mimi nilizani ndoa huja outomaticTatzo LA wengi hawafanyi maandaliz na maamuzi ya kuoa au kuolewa .
umeona mzee mwenzangu...kuna mzee mmoja aliwahi kunihadithia kua enzi za ujana kipindi yupo chuo kuna msichana alikuwa classmate mwenzake huyo msichana alisaidiwa kila kitu na huyo mzee siku anataka kuolewa huyo msichana alijipeleka yeye mwenye akagegedwe na huyo mzee...ebu image kama huyo mzee asinge msaidia angemgegeda huyo demu...kwahiyo pesa ndo kila kitu emage mond kawagegeda mademu wengi {vijei pen, wema, kidoti, jackline, irene nk} lakini hiyo ilitokea baada ya kupata pesa mbona hakufanya hayo yote kipindi yupo tandare?????Ukitaka kuona machozi ya mwanamke ktk mapenzi na ndoa uhakika wa simu Kali,lip stich na vivazi ukatike hapo atalia,lkn ndoa ama mapenzi yafe wakati uhakika wa lipstick upo hali ng'oo,
Wanaume tubadirike hawa wadudu hawapendi mtu wanapenda kitu,
Ni wachache sana wanaopenda mtu tena ni wale wenye kujitosheleza wenyewe
asante ni jukumu letu sasa kuufanyia kazi...ila tukumbuke ukipewa ushauri changanya na wakoAisee umeandika vizuri ana aisee.
Ushauri wko mtamu mno.
Safi sana
kumbeKuna kulilia mapenzi na kulilia ndoa,mwanaume wa ndoa akilia halii sababu ya mwanamke,analia sababu ya watoto na maisha aloyaseti yanavovurugika,na analia kwa vision maana hatma ya watoto inaingia ktk hati hati ya kuteseka,wanawake wa sasa hawalii maana huwa hawajali hatima ya maisha ya watoto,wao hujali hatma ya mawigi na vipedo na lip stick,hawajali kabisa masha ya watoto na hatma yao, wao hujijali wao,hivo wanawake wa sasa hawalii na vurugu za ndoa si sababu ni majasiri la hasha,ni sababu hawaoni chochote mbele
bora umenisaidia mzee mwenzanguUkiyarahisisha yatarahisika,ukiyatatanisha yatakuwa magumu,tujizoeze kukubali na kuanza upya,tuombe MUNGU atupe moyo wa kukubali yasiyoweza badirika
Kabisa mkuuumeona mzee mwenzangu...kuna mzee mmoja aliwahi kunihadithia kua enzi za ujana kipindi yupo chuo kuna msichana alikuwa classmate mwenzake huyo msichana alisaidiwa kila kitu na huyo mzee siku anataka kuolewa huyo msichana alijipeleka yeye mwenye akagegedwe na huyo mzee...ebu image kama huyo mzee asinge msaidia angemgegeda huyo demu...kwahiyo pesa ndo kila kitu emage mond kawagegeda mademu wengi {vijei pen, wema, kidoti, jackline, irene nk} lakini hiyo ilitokea baada ya kupata pesa mbona hakufanya hayo yote kipindi yupo tandare?????
pesa ndio kila kituMapenzi bila hela dah yataka moyo mno.