Achana na CamScanner, Adobe Scan ni Kiboko na bure

Achana na CamScanner, Adobe Scan ni Kiboko na bure

Msala kwa mm upo kwenye kulipia tu mkuu
Bila shaka unazungumzia kulipia app playstore.

Hatua #1. Tengeneza kadi ya kufanyia malipo

  • Waweza kutumia laini ya Voda au airtel au Tigo
- Kwa voda :
  1. Dial *150*00# Select Pay by M-Pesa
  2. Select M-Pesa Mastercard
  3. Select Create card
- Kwa airtel :
dial *150*60# and Choose 1 (Mastercard) > then 1 (Create Card) > Put Airtel Money PIN to confirm.

Hatua #2. Login katika account yako ya gmail, Tumia laptop/pc huwa naona inakuwa rahisi zaidi,
  • Kisha Taarifa za kadi yako ya malipo jaza hapa: Anmelden – Google Konten
  • Hiyo gmail account ndio pia iwe inatumika kwenye simu husika.
1605151930256.png


Hatua #3. Ingia playstore tafuta app unayotaka kulipia, angalia kiasi gani cha fedha kinachohitajika.

Hatua #4. Hamisha kiasi cha fedha kutoka kwenye mpesa / airtel money na kuweka katika Card yako ya malipo uliyotengeneza, Tumia menu ya mtandao husika.

Hatua #5. Ingia playstore na lipia app husika, Na utapokea ujumbe kwenye simu yako kuwa tayari muamala umefanyika.

Ref
- Voda Terms zao angalia hapa: https://vodacom.co.tz/public/assets/files/M-Pesa Virtual Card Terms and Conditions.pdf

- Airtel Terms zao hapa: https://www.airtel.co.tz/assets/pdf/Airtel_Money_Mastercard_Terms_and_Conditions.pdf

-------
My take - Bila shaka huo msala wa kulipia tayari umeumaliza vyema
 
Naitumia muda mrefu sana ni best scanner ever kwa smartphone
 
Sumsang Mobile Print, ni app yenye scanner matata! Hata kama document imekaa tenge na wewe mpiga picha umekaa kimshazali bado utaweza kuscan documents kwa kiwango kikubwa!
Kitu Clear Scanner sijawahi kujuta kuifahamu!
 
Back
Top Bottom