Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,199
- 18,919
Japo ndoa na mapenzi havinaga muongozo ila umetoa ushauri mzuri Sana
Utakufa vibaya weweUnanishauri nini ninaetaka kuoa singo maza??
Anaweza kuhisi Dogo karogwa kumbe alikosea sehemuKuna dogo mdogo tu,alikuwa kaajiriwa duka la simu akaamua kuoa,baadae akaacha kaz
Akaanza mishe zake tu za kijijin kulima sana pia anaponda kokoto,kijana ni mpambanaji sana yaan huwa nafikiria kama asingeoa mapema angetoboa kirahis
Hv karibun mke wake akawa mgonjwa wa tumbo kwenda kupima inasemekana sjui ana uvimbe
Kwanza hela ya vipimo tu kuipata ilikuwa mtiti
Dogo namhurumia sana,ingawaje yeye ni mpambanaji sana
Kwanini mkuu??Utakufa vibaya wewe
Nakuhurumiaaa