Acha kujipa umuhimu sehemu usiyostahili

Acha kujipa umuhimu sehemu usiyostahili

Mpaka imekuja point ya " usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu" manaake ulikua una expectation fulani juu ya huyo mtu, unafanya kitu in return maybe akuone mwema, au unatafta approval au kukubalika na hapo ndo maumivu yanapo anzia.

But trust me ukifanya swala kwa upend tu na kutoka moyoni, na kutotegemea chochote kutoka sehemu husika either kwakutoa support au msaada wa namna yoyote huwezi umia au kuja na maswali kwamba mbona kanilipa hivi kwa wema wote nlio mfanyia?

Nini namaanisha ? If you do something just do for love not anything else .

1 CORINTHIANS 16:14
Let all that you do be done in love
Mkuu mara nyingi tunafanya vitu Kwa moyo sababu unajua kabisa hawezi lipa au hana chochote in return just to push ili life liende, inatokea anafanya mistake ambayo itawagharimu wengi na wewe unajitahidi kumzuia either Kwa kumsema au njia yoyote yeye anafikilia sababu unampush ndio sababu ya wewe kutaka kumdhibiti kumbe wewe unalionea huruma kundi kubwa nyuma, yeye anaanza kupakaza sasa..
 
Mkuu mara nyingi tunafanya vitu Kwa moyo sababu unajua kabisa hawezi lipa au hana chochote in return just to push ili life liende, inatokea anafanya mistake ambayo itawagharimu wengi na wewe unajitahidi kumzuia either Kwa kumsema au njia yoyote yeye anafikilia sababu unampush ndio sababu ya wewe kutaka kumdhibiti kumbe wewe unalionea huruma kundi kubwa nyuma, yeye anaanza kupakaza sasa..
I feel you, but for your own sanity let sh*t be .
 
Mpaka imekuja point ya " usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu" manaake ulikua una expectation fulani juu ya huyo mtu, unafanya kitu in return maybe akuone mwema, au unatafta approval au kukubalika na hapo ndo maumivu yanapo anzia.

But trust me ukifanya swala kwa upend tu na kutoka moyoni, na kutotegemea chochote kutoka sehemu husika either kwakutoa support au msaada wa namna yoyote huwezi umia au kuja na maswali kwamba mbona kanilipa hivi kwa wema wote nlio mfanyia?

Nini namaanisha ? If you do something just do for love not anything else .

1 CORINTHIANS 16:14
Let all that you do be done in love
Hajalishi umefany Kwa lengo gn but shukran n Kwa mungu tuh
 
Mkuu mara nyingi tunafanya vitu Kwa moyo sababu unajua kabisa hawezi lipa au hana chochote in return just to push ili life liende, inatokea anafanya mistake ambayo itawagharimu wengi na wewe unajitahidi kumzuia either Kwa kumsema au njia yoyote yeye anafikilia sababu unampush ndio sababu ya wewe kutaka kumdhibiti kumbe wewe unalionea huruma kundi kubwa nyuma, yeye anaanza kupakaza sasa..
Fact as a really brow
 
hapo shida kubwa ni expectations

ukijifunza kutokuwa na expectations maisha ni rahisi sana
 
Back
Top Bottom