Acha kuibiwa leo!

Acha kuibiwa leo!

Acha wivu na upumbavu uliokuganda kichwani.jamaa anauza bei nzuri tu.Yani hapa bado hujalisafirisha hadi huku bongo.Utakua mchawi tu sio bure.
View attachment 682785
Acha akili za kijani wewe, mimi hiyo 40 nakuletea mpaka ulipo, sasa huo ujinga wa usafiri umeutoa wapi? Kama huna taarifa ficha upumbavu wako na si kutukana bure. Au unafikiria kila sehemu wanauza kwa hiyo bei
 
Acha akili za kijani wewe, mimi hiyo 40 nakuletea mpaka ulipo, sasa huo ujinga wa usafiri umeutoa wapi? Kama huna taarifa ficha upumbavu wako na si kutukana bure. Au unafikiria kila sehemu wanauza kwa hiyo bei
Labda kama limetengenezewa Chato
Siku nyingine utaolewa
 
Acha uongo.. Si u google tu utaona bei zake.. $ 28 - $ 39.50

So kwa tshs 70,000 ni bei ya kawaida kabisa.. Sio kwamba anauza ghali, ni sawa
Mkuu hayo mpaka ulipo unapata kwa 40,000/=
 
Acha akili za kijani wewe, mimi hiyo 40 nakuletea mpaka ulipo, sasa huo ujinga wa usafiri umeutoa wapi? Kama huna taarifa ficha upumbavu wako na si kutukana bure. Au unafikiria kila sehemu wanauza kwa hiyo bei
Niletee mimi nalihitaji kwa hiyo 40k njoo PM
 
Sikuizi wanakata mikanda wanakimbia na beg! Hawa wezi wetu wa mijini
 
Kwenye ishu ya kudhibiti kuibiwa bado hilo begi halijawa mkombozi kwa mtumiaji, maana kibaka anapita nalo begi zima na vikorokoro vyote humo ndani anakwenda kuchambua mbele
 
Acha akili za kijani wewe, mimi hiyo 40 nakuletea mpaka ulipo, sasa huo ujinga wa usafiri umeutoa wapi? Kama huna taarifa ficha upumbavu wako na si kutukana bure. Au unafikiria kila sehemu wanauza kwa hiyo bei
Acha use....ng siungefungua uzi wako before utangaze na wewe Iyo product yako
 
Back
Top Bottom