! Ukawa unakaeleza wee ni mtu mzima kakawa hakasikii na hakaelewi!Nimewahi kutumiwa aina hii ya ujumbe na kitoto fulani, nakieleza mie ni mtu mzima hakinielewi... Leo ndio nimejua kumbe hizo sms ni standard format kabisa , maneno hayohayo!
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..sasamkuu tufanye nini ili tupate connectionHivi ulishawahi kutumiwa huu ujumbe na mtu yeyote?
Habari yako
Samahani kwa kuja inbox yako bila ruhusa, namba yako nimetoa kwenye group la...
Mimi naitwa......, naishi DAR. Naomba usave namba yangu na mimi nisave yako kwa ajiri ya:
Mi nisave. Sijui nikusave nan ndug?"
- Urafiki
- Status view
- Kuhabarishana
- Money Connection
- mambo mbalimbali ya kiulimwengu
- Na pia ideas za business.
Kwa wewe unaye penda kutuma meseji kama hizi kwa watu ukiamini ni njia nzuri kutengeneza connections, unafeli sana.
Watu wa maana hawaji kwenye maisha yako na kufanya kazi na wewe kiurahisi hivi.
Kuna dogo alinitumia sms hii wasap namba yngu anasemq aliiitoa kwenye group fulan wakati mimi nina ma group mawili tu kwenye sim, alinitumia sms hii hii sjui ndo wewe maana halijapungua wala kuongezeka neno ktk sms hiyo na hii yako..Hivi ulishawahi kutumiwa huu ujumbe na mtu yeyote?
Habari yako
Samahani kwa kuja inbox yako bila ruhusa, namba yako nimetoa kwenye group la...
Mimi naitwa......, naishi DAR. Naomba usave namba yangu na mimi nisave yako kwa ajiri ya:
Mi nisave. Sijui nikusave nan ndug?"
- Urafiki
- Status view
- Kuhabarishana
- Money Connection
- mambo mbalimbali ya kiulimwengu
- Na pia ideas za business.
Kwa wewe unaye penda kutuma meseji kama hizi kwa watu ukiamini ni njia nzuri kutengeneza connections, unafeli sana.
Watu wa maana hawaji kwenye maisha yako na kufanya kazi na wewe kiurahisi hivi.
Mkuu ,,,,kama umesoma vizuri alichokiandika .ungekausha Kwa sababu kakuomba msamaha kama......Hivi ulishawahi kutumiwa huu ujumbe na mtu yeyote?
Habari yako
Samahani kwa kuja inbox yako bila ruhusa, namba yako nimetoa kwenye group la...
Mimi naitwa......, naishi DAR. Naomba usave namba yangu na mimi nisave yako kwa ajiri ya:
Mi nisave. Sijui nikusave nan ndug?"
- Urafiki
- Status view
- Kuhabarishana
- Money Connection
- mambo mbalimbali ya kiulimwengu
- Na pia ideas za business.
Kwa wewe unaye penda kutuma meseji kama hizi kwa watu ukiamini ni njia nzuri kutengeneza connections, unafeli sana.
Watu wa maana hawaji kwenye maisha yako na kufanya kazi na wewe kiurahisi hivi.
Kizazi cha sisi wa 1980-1990 tunaonekana wa hovyo lkn kuna hiki cha 1995-2005 ni cha hovyo pro-maxNimewahi kutumiwa aina hii ya ujumbe na kitoto fulani, nakieleza mie ni mtu mzima hakinielewi... Leo ndio nimejua kumbe hizo sms ni standard format kabisa , maneno hayohayo!
Wana copy na ku-paste. Baadhi target yao ni online business kupitia kutazama bidhaa zao kwa status ila njia wanayotumia kupata contact za watu kutazama hizo bidhaa zao sivyo inavyotakiwa.Nimewahi kutumiwa aina hii ya ujumbe na kitoto fulani, nakieleza mie ni mtu mzima hakinielewi... Leo ndio nimejua kumbe hizo sms ni standard format kabisa , maneno hayohayo!
Hii kitu ukiifikiria kwa mtazamo huu utateseka sana mkuu.Mkuu ,,,,kama umesoma vizuri alichokiandika .ungekausha Kwa sababu kakuomba msamaha kama......
Mkuu hawa huwa ni watoto katika kufikiri ila kiumri ni watu wazima kabisa, wengine wameolewa/kuoa na wanafamilia.Kuna dogo alinitumia sms hii wasap namba yngu anasemq aliiitoa kwenye group fulan wakati mimi nina ma group mawili tu kwenye sim, alinitumia sms hii hii sjui ndo wewe maana halijapungua wala kuongezeka neno ktk sms hiyo na hii yako..
Huyu mtu nilimshangaa sana, nadhan atakua ni mtoto kamaliza chuo anakuja kusumbua watu wa mambo ya kipuuz et ku View status sasa inanisaidia nn mimi?
Mkuu hii kitu unaweza tumiwa na mtu ambaye huwezi amini anaweza kufanya hivyo.Hiyo ni ishara tosha kuwa umejiunga kwenye magrp ya kipuuzi kwahiyo wote mnamatatizo huwez kujiunga kwenye grp linaitwa kanga moko alafu ubaki salama
Watu wanadhani online business ni nyepesi wakati watu wanalipia dollars kusoma Digital marketing na wanakesha asubuhi, mchana jioni kuandaa contents za maana na kujifunza vingi zaidi.Mambo ya kufundishwa kuuza vitu mitandaoni na influensa ndio chanzo.
, kwahiyo hii ndiyo kazi pekee mnayobaki nayo?Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..sasamkuu tufanye nini ili tupate connection
Hapa mtaishia kutengeneza aina gani ya connection mkuu??labda aanze kwa kunitumia picha yake ya mbususu.